Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Hey Guys . . .
Kama mnavyojua, Wanaume tunayo majukumu mengi sana katika dunia hii na tuko mstari wa mbele katika mambo mbali mbali. Hata hivyo napenda zaidi tuongelee zaidi majukumu yetu ya kifamilia na kijamii na mambo mengine ya akina baba yanayotuhusu. In particular tuongelee mambo kama:
1. Ni maduka gani mazuri kuwanunulia wapenzi wetu vitu vizuri pale ambapo tunapenda kuwapa suprises.
2. Wapi akina baba tufanye shopping zetu binafsi na za familia pale ambapo wenzi wetu hawahusiki.
3. Wapi tuagize magari na kwa bei zipi na ni magari ya aina gani.
4. Majukumu gani ya ziada ya kijamii tunaweza kushiriki mbali na ya familia zetu.
5. Jinsi gani tunaweza kuprotect familia zetu kutokana na mambo mbalimbali yanaayoweza kutuathiri kama uharibifu wa tabia au ujambazi. Mfano kuwalinda watoto na influence mbaya, wapi pa kupata silaha za kujikinga na ni aina gani nzuri ya silaha n.k.
6. Wapi kwa kuwatoa wapenzi wetu (viota) na sehemu hizo zina uhuduma gani. Same kwa familia nzima.
7. Tuongelee juu ya fashions na jinsi ya kwenda na wakati bila kuwa "too much". i.e. Nguo za kuvaa, viatu, saa, glasses etc
8. Tuongelee ni aina gani ya wadada katika hali halisi wanafaa kuwa "Wenzi zetu wa maisha"
9. Tuongelee jinsi ya kuepuka vishawishi vinavyoweza kupelekea kupunguza mapenzi ya mwenzi wako na familia. i.e. kuepuka vimada.
10. Tuongelee mambo mbalimbali na vitu mbali mbali vinavyotugusa katika maisha yetu, . . . nk . . .
Karibuni ukumbini . . .
Kama mnavyojua, Wanaume tunayo majukumu mengi sana katika dunia hii na tuko mstari wa mbele katika mambo mbali mbali. Hata hivyo napenda zaidi tuongelee zaidi majukumu yetu ya kifamilia na kijamii na mambo mengine ya akina baba yanayotuhusu. In particular tuongelee mambo kama:
1. Ni maduka gani mazuri kuwanunulia wapenzi wetu vitu vizuri pale ambapo tunapenda kuwapa suprises.
2. Wapi akina baba tufanye shopping zetu binafsi na za familia pale ambapo wenzi wetu hawahusiki.
3. Wapi tuagize magari na kwa bei zipi na ni magari ya aina gani.
4. Majukumu gani ya ziada ya kijamii tunaweza kushiriki mbali na ya familia zetu.
5. Jinsi gani tunaweza kuprotect familia zetu kutokana na mambo mbalimbali yanaayoweza kutuathiri kama uharibifu wa tabia au ujambazi. Mfano kuwalinda watoto na influence mbaya, wapi pa kupata silaha za kujikinga na ni aina gani nzuri ya silaha n.k.
6. Wapi kwa kuwatoa wapenzi wetu (viota) na sehemu hizo zina uhuduma gani. Same kwa familia nzima.
7. Tuongelee juu ya fashions na jinsi ya kwenda na wakati bila kuwa "too much". i.e. Nguo za kuvaa, viatu, saa, glasses etc
8. Tuongelee ni aina gani ya wadada katika hali halisi wanafaa kuwa "Wenzi zetu wa maisha"
9. Tuongelee jinsi ya kuepuka vishawishi vinavyoweza kupelekea kupunguza mapenzi ya mwenzi wako na familia. i.e. kuepuka vimada.
10. Tuongelee mambo mbalimbali na vitu mbali mbali vinavyotugusa katika maisha yetu, . . . nk . . .
Karibuni ukumbini . . .