Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
- Thread starter
- #61
Nakutakia ndoa njema maalim wangu
Shukran washa washa!
Usikose mwana jamvi.
Ila sijajua iwe mkoa gani? Dar si lamu nisingeipendelea ifanyikie humu!
Nakutakia ndoa njema maalim wangu
Solo la manyamanyama
raha ya mapenzi ni vile visa vinavyotokana na wivu.Aksante kwa mwaliko ila nasubiri kwanza umchoke huyo ili ninunulike kirahisiJamani!
Wivu ni mwanzo wa ugomvi?
Kwani ulipenda na ww uwe mke wangu?
Maana dini yangu inaruhusu!
Ila uupunguze huo wivu wako!
Karibu sana uhudhurie jamani!
Tusherehekee na tujuane zaidi.
raha ya mapenzi ni vile visa vinavyotokana na wivu.Aksante kwa mwaliko ila nasubiri kwanza umchoke huyo ili ninunulike kirahisi
Ahsante member!hongera sana mkuu...!
kila la heri
nakutakia maisha mema ya ndoa
tupatie mwongozo tuje tukuunge mkono
halafu wewe umenitia hamu ya pilau na hiyo title!!
Kumbe bado??
aiseee si mchezo
Mhhh!raha ya mapenzi ni vile visa vinavyotokana na wivu.Aksante kwa mwaliko ila nasubiri kwanza umchoke huyo ili ninunulike kirahisi
kabisaa, bf wapo ila waowaji hamna au wachache sanaAiseee si mchezo
nilivyofika kwenye hamu rooho ikapga
loliondoooooooooooooooooooo!!!nilipomalizia ikatulia
Pdidy unataka picha ya nani hapo?tuwekee picha tuiweke maombini kama mke mwema kutoka kwa bwana ...usijeingia mkenge ukalia na jf members..amhelewi kukimbilia kwa wakubwa yakilipuka
labda hiyo lugha kavu sana ila namaanisha unichukue jumlajumla kuwa second wife na sio nyumba ndogo.Mhhh!
Ntamchokaje?
Nawe bado hutobadilika/kuchange hizo vission?
Haya bibie....
Umenishitua hapo pakununulika kirahisi...!
Haya marytina !labda hiyo lugha kavu sana ila namaanisha unichukue jumlajumla kuwa second wife na sio nyumba ndogo.
thanks 100 times for this post hasa uliponiita kwa jina langu (usishangae hata kidogo)Haya marytina !
Maana hapa unaweza haribu kila kitu!
Mhusika wa kwanza anaweza kuepo humu JF anafuatilia hizi threads...nae wivu wake ikawa tafrani nguo.....
Mkaanzian kuPM.
Si wajua mlivyo?
thanks 100 times for this post hasa uliponiita kwa jina langu (usishangae hata kidogo)
Kuna mtu kaniPM KANIONESHA DHARAU flani sasa nakosa connection.
Ila sio siri kuolewa kwa siku hizi ni jambo la heri nampongeza huyo dada.
dena naanza kukuogopa kidogo kidogo