Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,517
- 4,987
Ha ha ha Genekai hujanywa dawa ya Babu maana ukinywa ile dawa no bia, no wine, no whisky no pombe at all milele.
Ila kwa maalim nadhani ni soda tu
no mama sijanywa dawa ya babu ila seriously situmii ulevi wowote. Nilitaka kujua kama ni chai au kahawa!