Jerry Muro, wapi alipo?

Jerry kawekewa vikwazo na mafisadi kila mahali. Kila mti anaogusa unatereza, ndo ishakula kwake.

Poor him, our weak leaks.
 
g waungwana nadhani kulikua na maswali mawili ya msingi. Kaisha fukuzwa kazi? Pia kesi iliishaje? Pliiz kama kuna mtu ana dits aziweke hapa, hata mi ningependa kujua whats goin on bout his case. Gracias

Kwa mujibu wa sheria za utumishi wa umma, mfanyakazi anapo shitakiwa mahakamani anasimamishwa kazi(sio kufukuzwa) hadi kesi yake itakapo kwisha tolewa hukumu, akifungwa na kazi basi,akishinda anaendelea
 
Kwa mujibu wa sheria za utumishi wa umma, mfanyakazi anapo shitakiwa mahakamani anasimamishwa kazi(sio kufukuzwa) hadi kesi yake itakapo kwisha tolewa hukumu, akifungwa na kazi basi,akishinda anaendelea
kama ni hivyo mbona akina Mramba na Yona waliendelea kuhudhuria BUNGENI? au wao hawakuwa watumishi wa UMMA?
 
Watanzania tunatakiwa kuwa makini sana kwani ukitizama ze comedi walivyo malizwa kwa mtego wa fedha ndivyo mambo yanavyo kwenda. Hata mdogo wangu zitto aangalie sana naheshimu mchango wake sana ila atizame watu wangapi wali muunga mkono naomba kuwasilisha
 
Ukiitizama bongo yetu hiii kwa jicho la tatu na la nne utaona nchii yetu wawezafanyiwa au kunafanyika umafiya.Je aliii mpaka lini ?
 
Jerry anakesi mahakamani, its standard procedure inapotokea hivyo kusimama kazi mpaka utakapokua cleared. situation ya Chenge na Mramba ni tofauti kwa sababu mlizozisema na tukubali kwamba hivyo sivyo organization zinavyofanyakazi. Kwa hiyo two wrongs do not make it right. Tunakubaliana kwamba swala hili labda ni la kisiasa, lakini kwa kuwa Jerry na sisi wote hatuna connection na mafisadi, basi ni wajibu wetu na labda jukumu kwamba tunahitaji kuwa more careful zaidi ya hao mafisadi.
 
Kesi ya Jerry imekaa kisanii zaidi kwani inasemekana sababu mojawapo ya kumpa msuko suko ni kwamba alitap mawasiliano ya mkubwa fulani wa jeshi la polisi akinegotiate rushwa kubwa tu na haijulikani kaihifadhi wapi ndio maana wanalia naye mpaka waipate na asiiachie kwa public bado otherwise hana kesi ya maana
 
Kama nitakuwa sahihi alishafukuzwa kazi,kwani kinachotakiwa ni kumuondoa kabisa kwenye mawazo ya watu,kumbuka kuwa tbc1 inatawaliwa na mafisadi.

You are very right. Mafisadi wanamiliki 100% of TBC1
 
kama ni hivyo mbona akina Mramba na Yona waliendelea kuhudhuria BUNGENI? au wao hawakuwa watumishi wa UMMA?

Mkuu hizi ni issue mbili tofauti, inahitaji darasa kukutofautishia kati ya mwalimu, mtangazaji na mbunge.
in short mwalimu na mtangazaji wameajiriwa,
mbunge amechaguliwa, mengine zaidi kaulizie jukwaa la sheria
 
Kesi yake inaendelea. Kwa mujibu wa sheria na kanunu za utumishi wa umma zinazo tawala kwa taasisi ya serikali hususani tbc ,mtumishi anayekuwa na kesi mahakamani anatakiwa kusimamishwa kazi na kupokea nusu mshahara hadi hapo kesi yake itakapo kwisha au pia ana anatakiwa simamishwa kazi na kupokea mshahara wake wote. Ingawa hatujui muro aliajiriwa kwa masharti ya kudumu au mktaba lakini bado atakuwa katika sheria na kanunu hizo. Ni ngumu kufukuzwa kazi mana bado hajapatikana na hatia.
 
I know the right of the accused person, he has fundamental right under the constitution, presumption of innocence. "No body is guilty until he is proved guilty" not "guilty till proved innocent" If I was jurror in this case I would find Jerry Muro guilty as charged because prosecution has proved its case beyond reasonable doubt. I cannot fathom how a prominent reporter found with handcuff and at different occasion seen with a person who is alleged misappropriation of public funds. Peace no hate
 
Kama nitakuwa sahihi alishafukuzwa kazi,kwani kinachotakiwa ni kumuondoa kabisa kwenye mawazo ya watu,kumbuka kuwa tbc1 inatawaliwa na mafisadi.

kwa maoni yako kama anafichua mafisadi anapaswa awe juu ya sheria?!
 
You are very right. Mafisadi wanamiliki 100% of TBC1
Mimi nijuavyo TBC1 na TBC ni mali ya watanzania wote hivyo serikali ambayo inawakilisha wananchi ndiyo inasimamia shughuli zote kwa niaba yetu sisi Watanzania. Sasa ukisema inamilikiwa na mafisadi 100% sikuelewi kwani tuliiuza lini?
 
Huyo Jerry muro msimtetee kwani nikawaida yake kutumia taaluma kuomba rushwa,hata itv walimchoka pia mtangazaji anaitwa chuwa anatabia kama muro
 
Kwa mujibu wa sheria za utumishi wa umma, mfanyakazi anapo shitakiwa mahakamani anasimamishwa kazi(sio kufukuzwa) hadi kesi yake itakapo kwisha tolewa hukumu, akifungwa na kazi basi,akishinda anaendelea
Huo ndiyo ukweli, akishinda analipwa stahili zake lakini akishindwa inakuwa imekula kwake. Kwa sasa amepisha uchunguzi na kesi yake hukumu ipo karibu ipo tayari nadhani ilishapangiwa tarehe ya kusomwa.
 
Muro bado yupo TBC1, huwa nagonganaye jioni kwenye part time. Anasoma Sheria huyu dogo.
 
Aliwafuata mafisadi akifikiri kapata kumbe kapatikana. Sasa kwishney. Hivyo ndivyo ccm huwafanya wote wanaokuwa na kiherehere cha kupinga ulaji wao. Uwakenulia meno kumbe huwa ni chambo tu. Mwisho yanawakuta yaliyomkuta. aliyataka mwenyewe na kuyafuata mwenyewe huko TBC

Sijawahi KUWA NA JERI MURO hakyamungu........
 
Kwa mujibu wa sheria za utumishi wa umma, mfanyakazi anapo shitakiwa mahakamani anasimamishwa kazi(sio kufukuzwa) hadi kesi yake itakapo kwisha tolewa hukumu, akifungwa na kazi basi,akishinda anaendelea
Huo ndiyo ukweli, akishinda analipwa stahili zake lakini akishindwa inakuwa imekula kwake. Kwa sasa amepisha uchunguzi na kesi yake hukumu ipo karibu ipo tayari nadhani ilishapangiwa tarehe ya kusomwa.

Kwanini Mzee Wa Rula usingempa thanks mwenzio... kwani mpaka na wewe uandike?????
 
QUOTE=paulss;Kwa mujibu wa sheria za utumishi wa umma, mfanyakazi anapo shitakiwa mahakamani anasimamishwa kazi(sio kufukuzwa) hadi kesi yake itakapo kwisha tolewa hukumu, akifungwa na kazi basi,akishinda anaendelea

Mbona Chenge na Mramba ambao ni watumishi wa umma hawakusimamishwa kazi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom