Jamaa wamesha mpotezea kabisa.
Usijaribu kuwagusa wadosi bana
Kilichofanyika ni halali kabisa kwani kila kitu kina ethics zake . Ndio maana hapa ma engineer tunakuwa registered erb, vile madaktari, wanasheria, wahasibu na hata waandishi.
Sasa jery alikuwa ana practice kitu asichosomea na hana taaluma nacho ni bora sasa wamuweke kwenye taaluma yake na kama anataka uandishi basi ana nafasi kubwa ya kujifunza taaluma ya uandishi kisha kupata licence ya ku practice. Ili aweze kufanya kwa ufanisi zaidi.
nchi hii unaweza kuukana uraia wako kwa mambo ya aibu yaliyopo
Kilichofanyika ni halali kabisa kwani kila kitu kina ethics zake . Ndio maana hapa ma engineer tunakuwa registered erb, vile madaktari, wanasheria, wahasibu na hata waandishi.
Sasa jery alikuwa ana practice kitu asichosomea na hana taaluma nacho ni bora sasa wamuweke kwenye taaluma yake na kama anataka uandishi basi ana nafasi kubwa ya kujifunza taaluma ya uandishi kisha kupata licence ya ku practice. Ili aweze kufanya kwa ufanisi zaidi.
na wewe hebu acha hizo unafanya kitu roho inapenda ..wameamua tu kumnyamazisha kijana wa watu..
Wanani wameamua kumnyamazisha? Ni yeye mwenyewe na tamaa zake za mzee fisi. Anadai rushwa kwa kutumia pingu? Inafaa ale miaka saba ili liwe fundisho kwa makanjanja wengine