BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,503
- 5,699
Habari za wakati huu wadau wa jukwaa hili.
Nilikuwa napitia katika mitandao ya kijamii, nikakutana na hii habari ya huyu mlimbwende Angelina Jolie.
Ya kwamba aliadopt watoto, mmoja wapo anatokea Ethiopia anaitwa Zahara, tangu kakiwa kachanga kabisa kama miezi mitano hivi.
So hiyo tu na watoto wengine pia kama watatu hivi, kuna wa kiume mwenye asili ya Asia na Kuna mwingine mzungu.
Na amekuwa akiwatunza mpaka Sasa, kasheshe inakuja Kwa huyu Binti Toka Ethiopia, kwamba kashakuwa mzuri na mama yake anaanza kuleta longolongo kuhusu mwanawe, wakati Angelina Jolie alimchukua kama orphan yaani yatima.
Anyway sijui itaishia wapi.
Kwa anaefahamu au mwenye kujua zaidi tujadili japo kidogo,
1. Hivi sisi wabongo tunaweza fanya hiki alichofanya huyu Angelina Jolie? Jinsi tulivyo na miroho yetu ilivyo mibaya?
2. Sisi blacks mbona tunajidhalilisha sana, Kwa mfano huyu mama wa Zahara Binti wa Angelina Jolie? Leo ndo anamuona mzuri? Zahara kanoga, kapendeza, na anafaa kabisa Kwa matumizi ya binadamu(Kwa sisi wanaume tu).
3. Binafsi nampongeza sana huyu Angelina Jolie Kwa alichokifanya kuadopt hao watoto, ningekuwa na uwezo Ile wa uumbaji basi huyu Pepo inamuhusu kabisa.
Nilikuwa napitia katika mitandao ya kijamii, nikakutana na hii habari ya huyu mlimbwende Angelina Jolie.
Ya kwamba aliadopt watoto, mmoja wapo anatokea Ethiopia anaitwa Zahara, tangu kakiwa kachanga kabisa kama miezi mitano hivi.
So hiyo tu na watoto wengine pia kama watatu hivi, kuna wa kiume mwenye asili ya Asia na Kuna mwingine mzungu.
Na amekuwa akiwatunza mpaka Sasa, kasheshe inakuja Kwa huyu Binti Toka Ethiopia, kwamba kashakuwa mzuri na mama yake anaanza kuleta longolongo kuhusu mwanawe, wakati Angelina Jolie alimchukua kama orphan yaani yatima.
Anyway sijui itaishia wapi.
Kwa anaefahamu au mwenye kujua zaidi tujadili japo kidogo,
1. Hivi sisi wabongo tunaweza fanya hiki alichofanya huyu Angelina Jolie? Jinsi tulivyo na miroho yetu ilivyo mibaya?
2. Sisi blacks mbona tunajidhalilisha sana, Kwa mfano huyu mama wa Zahara Binti wa Angelina Jolie? Leo ndo anamuona mzuri? Zahara kanoga, kapendeza, na anafaa kabisa Kwa matumizi ya binadamu(Kwa sisi wanaume tu).
3. Binafsi nampongeza sana huyu Angelina Jolie Kwa alichokifanya kuadopt hao watoto, ningekuwa na uwezo Ile wa uumbaji basi huyu Pepo inamuhusu kabisa.