Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Kijana huyu ni mfano wa kuigwa wa waandishi bora. Hakuna wa kuingia kwenye anga zake. Mungu amsaidie.
I used to enjoy alivokuwaga anareport, na tatizo ni watu kutokubali makosa na kudhani kwamba wanaingiliwa, Kikubwa ni kwamba wanafanya kama kumkomoa, WAPI UHURU WA VYOMBO VYA HABARI, Nini kosa la kijana wa Watu!??
suluhisho hapa ni Jerry Muro avae magwanda ...period
Yupo kitaa kachoka kweli kesi yake ni tar 17 may wasiwasi wangu wasijemfunga kimasikhara masikhara na hawa mafisadi
Jery bonge la handsome,alijitahidi kwenye kazi zake
Nampenda Jerry Muro ni shujaa wetu wanyonge. Yahu atamwinua hata kama Watu waovu wanamwangamiza. Jerry Upaterehema. Kumbuka Hakuna raha inayokuja bila kusota kidogo. Mkumbuke YUsuf Ktk Biblia alisota miaka 12 kwa hiyana ya mke mzinzi lakini baadaye alipeta. Jipe nguvu. Nasikitika kila nikimwona kiingia Kizimbani