Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Jana katemewa mate na msaidizi wa balozi wa Canada akiwa anafuatilia newz kituo cha polisi ambako huyo balozi alifikishwa kwa kumtemea mate traffic!
Pale ITV kikwazo ni GRACE MHAVILLE huyu ndo anabana kila kitu, ana influence kubwa sana, Mzee alipita/alimega pale so kashika kila kitu yule mama, Mpaka hapatani na mtoto wa MZEE mwenye mali. mwanamke ana roho mbaya mpaka ndugu zake hawampendi. So pale kuwa pazuri mpaka yule mwanamke aondoke. hawa Vijana nafasi yao ya ku shine pale ni ya wasi wasi.
mkurugenzigrace mhaville ndo nani mkuu,nieleweshe kidogo hapa
mkurugenzi
mkurugenzi
mkurugenzi wa nini????
wa mengi....haya rudi kwenye mada kabla hatujarushiwa mawe mkuu
Naye ni Celebrity?
Kwani celebrity kwako ina maana gani? au unataka celebrity ni wawe watot wa kishua kama mimi ,tunao kutana kwenye maparty na kule clubs na kwasababu tunaendesha Vogue za baba zetu na tunajulikana kwnye hizo party ndio sisi ma celebrity? kama una maana hiyo na dhani ume kosea !
Au labda ujaribu ku google, au ni ku rahisishie
A celebrity (or celeb) is a person who is famously recognized in a society or culture.
Generally speaking, a celebrity is someone who gets media attention and most frequently has an extroverted personality. A celebrity that shies away from the public eye or keeps a very separate private life is called a reluctant celebrity.