nchi hii kuna tatizo la investment economics .... huu mradi haukufanyiwa investment/project appraisal ... miradi mingi haifanyiwi appraisal
ujinga uliofanyika ni kufanya market reseach ambayo ilionesha kunaa wamachinga wengi sana na watakuwa ndiyo wateja
swali ambalo hawakujiuliza ambalo lipo kwenye investment appraisal ni.. je wakijenga machinga complex wamachinga watakwenda kukodisha sehemu za biashara katika jengo hilo? ... kama hapana ... je nikwanini hapana?
ujinga uliofanyika ni kufanya market reseach ambayo ilionesha kunaa wamachinga wengi sana na watakuwa ndiyo wateja
swali ambalo hawakujiuliza ambalo lipo kwenye investment appraisal ni.. je wakijenga machinga complex wamachinga watakwenda kukodisha sehemu za biashara katika jengo hilo? ... kama hapana ... je nikwanini hapana?