Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 3,985
- 2,770
Jengo litalipaje ikiwa watu wanaachiwa kufanya biashara popote holela hapa dar? Hata kwenye kituo cha daladala mwaga bidhaa zako uza nobody cares. Angalia manzese biashara barabarani kabisa tu kuu service road nazo biashara kama kawaida. Sheria hazifuatwi na hakuna wa kuwasisitizia watu kufuata sheria. Wabongo wenyewe wavivu kutembea siyo rahisi mtu kwenda machinga complex kununua bidhaa ikiwa ninapopita njiani nazipata. Nchi ya kishikaji hii wa kusimamia sheria hawapo.