usatrumpjr
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 2,237
- 2,897
M nakumbuka 2009 nlikula ada ya chuo sasa kilichonikuta mpk leo najutia aseee
PoorlyIlkuwa mwaka 2009 npo form 3 nilkuwa ada lak 3 ili niend kw Madida(afrk kusin) kusak life,nlifanikiw kufk lkn kumbe nlifka kpnd kbaya cha maandaliz y world cup kulkuw n msako wa htr,nlkamatw nkarudishw om,nikashndw kumwangalia mzee uson,ss iv napamban na vyum vy gerej
Nililamba Tshs 45,000,nafika shule nikataka kulipa nusu,kumbe jamaa anajuana na brother,akamvutia sharubu brother.... Baada ya siku tatu nashangaa naitwa parade nikapewa zangu 12 strokes sita toka kwa Mwalimu Mkuu na sita toka kwa brother... Tangu siku hiyo,nilianza kulipa ada ya shule hata kabla sijafika shule,naenda zangu bank,nalipa zen napeleka pay slip tu....
Kama tu unadaiwa 1.2 hiko cha chuo umekipataje???Unanitonesha kidonda, mpaka leo sijaenda kuchukua cheti, nadaiwa 1.2M, nyumbn hawaijui hio mana walinipa. Samahan naomb niulize, hv ukiajiriwa ni lazma uwe na vyeti vyote Original? Au wanaangalia tu kile cha mwisho mfn cha chuo?
Sitakaa nisahau nikiwa form six nilikula ada halafu wakati mtihani unakaribia tukaambiwa hatutaruhusiwa kufanya paper,Habari za wakati huu wakuu,
Naamini wakati unasoma sekondari au 'level ' yoyote ya elimu uliwahi kula hela uliyopewa kwaajili ya ada. Au uliona wengi wakila ada
Kama uliwahi tushirikishe Ilikuaje? Na uliirudishaje?
Msemo wa mtaani" Kama umekula hela ya ada ni ngumu kuirudisha"
Karibuni
Ulitisha aseeSitakaa nisahau nikiwa form six nilikula ada halafu wakati mtihani unakaribia tukaambiwa hatutaruhusiwa kufanya paper,
Daah na hapo home siwezi sema,ikabidi niingie kijiji nikauza godoro,blanket,viatu,nguo,ndoo, maisha yalikua magumu sana mpaka kumaliza shule!
interestingDaaaah nilibet ada mhindi akaitafuna bila huruma
Ila nilichangiwa na wana nkailipa