uongo mtupuUmenikumbusha mbali aisee, 13yrs ago nilijimegea dola 7200 nikazamia huko dunia ya kwanza. Ziliisha kabla sijapata kazi nusra nipate kichaa, nilipoteza miaka miwili bila kusoma. Ujana shida sana.
Dada sio lazima uamini kilichoandikwa.uon
uongo mtupu
Inaonekana unauza,ni PM hua natoa hela nzur sana kwa makahaba huwez aminJamani hela ya ada ni tamu sana
Sema ukishaila,huwa inakuwaga ngumu kuirudisha,,unaweza kujuta
Mimi nlishawahi kutumbua laki tano ya ada ya chuo ya semester ya pili
Niliitumbua kwa shopping tu yanii
Sema sasa nilijuta jinsi ya kuilipa kipindi cha mitihani kilipofika
Thanx to "my papuchi jamani"
Loooooooh inasaidiaga sometime
Jamani msile ada awamu hii ya tano mtatumbuliwa View attachment 422057
ila ukila ada tena unitafute
Halafu risala iwe ya Mzee wa Kijaluo. Amefunga tai kuubwa huku Bi. Mkubwa akikukazia macho...!!Huo ujasiri sikuwahi kuwa nao, kwanza kabla ya kukabidhiwa ada unapewa risala ambayo ukiikumbuka hata wazo haliji, na sikuwa na tamaa za vitu vilivyo nje ya uwezo wangu.
Kwa hiyo wazee wa kijaluo wanasoma risala ndefu sana au fupi zenye hisia na ubabe ndani yake!?Halafu risala iwe ya Mzee wa Kijaluo. Amefunga tai kuubwa huku Bi. Mkubwa akikukazia macho...!!
Utakuwa ulihonga au kuna mtu kwenye sistim alikuunganishia kibongobongo.Nilikula mzigo wa form six mkwawa mpaka Leo sijalipa na vyeti sijachukua maana sekta binafsi nilipo UHAKIKI hauna nafasi na kama mtu haamini nilisoma form six basi anijibu nilifikaje chuo .
Hahahah! Mkuu nimecheka sana,vipi ushamrudishia mzee hela yake? Vipi saini mlizotiliana?mzee wangu mimi alikua ananipa ada then ananisindikiza imagine toka mwanza huko mpaka morogoro njia nzima anasoma risala mpaka kuna kipindi nilitoa pesa yote kwenye begi nikamtupia basi tu abiria wakatusihi niichukue,, mzee alikua na risala mbaya yani anakomaa hii pesa natoa kama mkopo ukipata kazi lazima kila shilingi izae shilingi.. sasa ole wako usimjibu wakati anakusomea alikua mpaka ananikaba shati eti nisaini kwenye notebook yake niji commit kwamba hiyo pesa ntairudisha,,
Umenikumbusha kijiji kimoja knaitwa makojo, daaaah hilo jina lilikua linanipa shida kulitamka mkawa najua nakosea aiseeNakumbuka nilikua mkoa wa mara musoma vijijini huko kuna mahala panaitwa majita uko, shule iliitwa BWASI ni ya wasabato , nikiwa form3 nilipata binti flani wa kisukuma anaitwa Elina Manyusi aisee yule binti yule,shidaaa yani mbantu haswa kiuno dondora af mzurii na macho yake ya kulembua alinikosha haswa.
Nikiwa ndio nimefika kutoka dar nilipewa ada nikalipe account yao ya NBC badala ya kumaliza transaction mapema nikajisahaulisha kuwa ile ni ada, bwana nafika musoma mjini pale nisha mpanga mtoto namsubiri pale nikafikia kuna hotel wanaita afrilux kama sijakosea ni muda kidogo,
Wakati ule ada ilikua laki 6 na 80 boarding sasa ile ndio ilikua awamu ya pili nna laki 3 na 40 na pocket money ef 50 lakini nilimaliza pesa yote kwa anasa nakuja kustuka nna ef 74,000 tu na niko kwenye BUKWAYA narudi shule huku mawazo kibao.
Aisee nilipofukuzwa ada nikarudi kijiji flani kinaitwa BUKIMA nikawa najichanganya na wavuvi niliitafuta pesa kama miezi miwili na nikafanikiwa kupata kama 275000. Nikamrudia second master wangu alinielewa vizuri na maisha ya shule yakaenda jumlisha na shida za hapa na pale kulia lia shida uwongo mwingi wa wanafunzi home wakarusha laki na nusu na nilipo clear hilo tatizo nilijifunza kuwa pesa inatafutwa kwa uchungu hivyo unaitajika umakini zaidi kwenye kuifuja
Hahaha nakumbuka mbali sanaUmenikumbusha kijiji kimoja knaitwa makojo, daaaah hilo jina lilikua linanipa shida kulitamka mkawa najua nakosea aisee