adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,035
- 15,540
Kila ukiwaza kwb acha niitumie nitairudishia ndio unazidi kujiweka mbal na kupata ela ya kulipiaKatika pesa ngumu kuicompensate ni ada. Ada ina laana unaweza sota mpaka mwenyewe ukaenda nyumbani kukiri.