la hasha, hapa hatuna haja ya kuleta hasira wala nini. Sijasema kuwa nataka kukuajiri na wala sijui hiyo imetokea wapi lakini nimekuuliza tu maswali kutokana na hoja ulizozileta sasa mzee hiyo ndio hekima ya mjadala
wewe ulitakiwa unipe referebce tu bas
si vita mkuu
Mada kuu sasa ni Rizwani ni Fisadi hebu turudi huko .Nondo zimesha wekwa hapa na more to come .Hii ndiyo mada mengine mnaweza kufungua thread ya ubishi mkaendelea.Anahusishwa ana anshiriki ndiyo issue sasa mezani .