Mwakilishi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 483
- 32
Halafu baada ya hiyo mistrial na watuhumiwa kudai compensation na ghasiaghasia nyingine Wadanganyika tutaandamana kujipongeza tumewadhibiti mafisadi kumbe sisi ndio tumeliwa, ama kweli...
Once again MKJJ uko on top of your game
Kama mimi ngekuwa lawyer na kesi ya EPA inasomwa na upande wa mashitaka then wala sipati taabu mimi nitaomba UBAO na kuomba taa zipunguzwe kisha nitaanza kufanya POWER POINT presentation jinsi watawala walivyobwabwaja na mwishowe wateja wangu hawatotendewa haki
Its that simple saa sita mchana jaji anatangaza mistrial kisha mie nawapa bank details zangu za Liechtenstein
then jioni na log in JF kuwasoma mafisadi wengine
Mzee system yetu nzima ni mbovu kuanzia KATIBA mpaka sheria zenyewe na wala siwalaumu wanao tumia mianya kujinufaisha
Nasikia mafisadi baada ya kuona wanachoka sasa maandalizi ni kwa watoto wao .Tumewaona tayari hawa ila tu sasa wanazidi kujichimbia katika vyanzo vya madaraka .Kazi ni kubwa
Halafu baada ya hiyo mistrial na watuhumiwa kudai compensation na ghasiaghasia nyingine Wadanganyika tutaandamana kujipongeza tumewadhibiti mafisadi kumbe sisi ndio tumeliwa, ama kweli...
Nasikia mafisadi baada ya kuona wanachoka sasa maandalizi ni kwa watoto wao .Tumewaona tayari hawa ila tu sasa wanazidi kujichimbia katika vyanzo vya madaraka .Kazi ni kubwa
Mimi naomba niulize hivi: Hii kampuni ya IMMA kama kampuni ya wanasheria/mawakili kosa lake ni lipi hasa? Kuwaajiri na hatimaye kuwapa upatna Masha(sijui kama bado yuko nao), Ridhiwani, Fatuma Karume and whoever else?
Nimefuatilia ile ripoti ya BOT, naona wametumika kama mawakili wa makampuni hayo na wametajwa watu wawili ambao walikuwa na hisa Deep Green, Ishengoma na Stella, ila jina la Ridhiwani sijaliona humo or is there something I am missing here?
Kama kuna ufisadi kwa Ridhiwani labda kutokea angle nyingine maana hii ya IMMA jinsi ilivyowekwa kwenye ile ripoti inapwaya mno.
Mimi naomba niulize hivi: Hii kampuni ya IMMA kama kampuni ya wanasheria/mawakili kosa lake ni lipi hasa? Kuwaajiri na hatimaye kuwapa upatna Masha(sijui kama bado yuko nao), Ridhiwani, Fatuma Karume and whoever else?
Nimefuatilia ile ripoti ya BOT, naona wametumika kama mawakili wa makampuni hayo na wametajwa watu wawili ambao walikuwa na hisa Deep Green, Ishengoma na Stella, ila jina la Ridhiwani sijaliona humo or is there something I am missing here?
Kama kuna ufisadi kwa Ridhiwani labda kutokea angle nyingine maana hii ya IMMA jinsi ilivyowekwa kwenye ile ripoti inapwaya mno.
Heeeeeeeeeh
Kumbe alihusika na kwenye Richmond! Gazeti la MWANAHALISI leo limemhusisha na kashfa hii tu: http://www.chadema.net/tamko/2007/mafisadi2.php
Sasa inamaana kwamba na kwingine pia alihusika? Mbona mimi niliona kuwa anaweza kufuata nyayo za baba yake?
Asha
Mwafrika wa Kike,
Nashukuru kwa majibu yako, ndio maana nikauliza je is there something I am missing here? Kumbe kuna mambo hayajawekwa wazi kuhusu role ya IMMA kwa Deep Green na kama huyu Bwana Ridhiwani Kikwete alikuwa anafahamu nini na alifanya au hakufanya nini wakati huo, je kuna mtu anafahamu Ridhiwani alianza kazi pale lini, na akapata (au akapewa, whichever is applicable) u-partner lini? Was it before, after or during the Deep Green affair? Hii itatusogeza karibu zaidi na yaliyojiri huko IMMA.
Ninavyokumbuka mimi hii IMMA kampuni enzi hizo ilianzishwa na Ishengoma, Maajar, Mujulizi, hiyo "A" sikumbuki nani ama ni neno Advocates, ila nafahamu kuwa baadaye ndio akina Magai, Masha wakaingia na baadaye akina Karume na Kikwete na wengineo...
Susuviri mkuu,
Sasa kama ni kweli Ridhiwani yumo na Richmonduli, imekuwaje kamati ya Dr. Mwakyembe na ujasiri wake wote iliyouonyesha haikumtaja walau BTW au hata kuashiria kuwa kuna tetesi Bwana Ridhiwani alihusika? Au hii kamati haikuwa huru kama wengi wetu tunavyotaka kuamini? Tutaona na kusikia mengi mwaka huu!
Shukrani tena Mwafrika wa Kike,
Kumbe ile ripoti is just the tip of the iceberg as it were! Kama mambo yenyewe ndio hivi sidhani kama ukweli wote utaja kuwa wazi, na matokeo yake mbuzi wadogo wadogo wa kafara watakuwa wakitolewa as we go on. Akitolewa kigogo kama EL basi sanasana atapeta kimyakimya kama afanyavyo sasa hivi.
Sasa huku kutakuwa ndio kudanganyana kwenyewe huku, sijui lini tutakuwa serious na nchi yetu na mali zetu! Sasa hiyo Deep Green kama kampuni ndio ishatoweka hivyo? Paper trail lazima ipo mahali, napenda kuamini mawakili wao IMMA wanayo makabrasha ila I am not holding my breath.
Back to Ridhiwani, sasa anatajwa katika hayo mawili Richmonduli na Deep Green, kwanini wanaofahamu vizuri hawauweki ukweli wote wazi? Watanzania lini tutaondokana na woga huu jamani? Mtu uko nyuma ya keyboard unaogopa hata kutype ukweli wote, mwageni vitu kama vipo, tumkome Nyani giladi mchana kweupee!
Mwafrika wa Kike,
Najua kuna wenzetu humu ndani ambao wana access na habari ambazo sisi wengine hatuna ndio maana nikasema wenye nazo wazimwage humu ndani, ningekuwa na access mimi ningemimina kama kweli naipenda nchi yangu. Huna haja ya ku-insinuate otherwise! It's that simple, really!