Mkweli mwaminifu
Member
- Feb 7, 2012
- 89
- 24
ha
Hafu ataongea kwa uchungu kweli sitaki watoto wa maskini wateseke bora, chezeiya kushangiliwa Nkurumah weweKama namuona hiyo kesho akisema " pesa zote za kuagiza ndege zingine ziende kukopeshwa wanafunzi"
Avatar yako tuHafu ataongea kwa uchungu kweli sitaki watoto wa maskini wateseke bora, chezeiya kushangiliwa Nkurumah wewe
Mmebaki kufanya siasa za kui-preempty serikali ila mnachotakiwa kujua ni kwamba mwisho wa siku Serikali itaibuka kidedea haijalishi ilitenda kwa kuamua au kwa sababu mlisema nyie. Mtakuwa mmekumbuka shuka kumekucha
Na kweli na tunamsubir kwa hamu kubwaSalam Wanabodi,
Tujitwike mzigoni.
Ikiwa zimepita siku chache tangu serikali kupitia Naibu Waziri wa Elimu Mh. Stella Manyanya kutoa taratibu mpya juu ya utoaji wa Mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu, zimesikika kelele na vilio vya watoto wa Kimaskini juu ya hatma yao Masomo.
Watu wengi wamelaani taratibu hizo kuwa siyo rafiki kwa wanafunzi hao. Pamoja na hayo ni wanafunzi wachache tu ndiyo wamebahatika kupata mkopo katika awamu ya kwanza.
Nimekua nikijiuliza sana hii ina maana gani ikiwa Mh Rais John Pombe Magufuli aliahidi kuwa wanafunzi wote wenye sifa ya kusoma chuo kikuu wanapatiwa mikopo. Mbona ahadi yake na hali halisi hazilandani kabisa?
Je,ni kweli serikali imekosa fedha za kuipatia Bodi ya Mikopo ili wawapatie Wanafunzi? Je,ni katika harakati za Serikali kubana matumizi ili kizidisha kile wanachokiita maendeleo?
Kati ya hayo maswali yangu hapo,siamini kabisa kwamba Serikali haina fedha za kuwapatia wanafunzi. Pili,serikali haiwezi kubana matumizi mpaka kufikia hatua ya kuwanyima baadhi ya wanafunzi mikopo.
Kelele nyingi zimepigwa na wadau wa elimu,Shirikisho la Wanafunzi wa vyuo vikuu,wahanga wa tukio lenyewe na watu wengi mtaani wanasikitika.
Jambo hili limekua ndo mazungumzo makuu mitandaoni na hata mitaani. Yaani limeteka sana hisia za watu wengi. Hata serikali pia inalitambua hili kuwa hali si nzuri.
Nikionacho ni kwamba Serikali ya awamu ya 5 inajaribu kutafuta attention ya watu ili baada ya muda mfupi watoe mikopo kwa wanafunzi wengi baada ya hapo serikali itasifiwa na kupewa sifa za kutosha.
Kwa nilichokisikia ni kuwa Mh Rais anaweza kuwa mgeni rasmi kwenye sshughuli ya kusherehekea miaka 55 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).
Je,ni hapo ndipo atakapopandisha mizuka na kusema wnafunzi wote wapatiwe mikopo kisha kushangiliwa na Umati wa wanafunzi watakaohudhuria?
Hii siyo kiki kweli?
TUSUBIRI TUONE.
How do we expect to have a developed and
industrialized country if we don't educate the
very same people who we expect to propel us
there?
mkuu umeharibu kila kituu, KIKI inatafutwa hapa!Salam Wanabodi,
Tujitwike mzigoni.
Ikiwa zimepita siku chache tangu serikali kupitia Naibu Waziri wa Elimu Mh. Stella Manyanya kutoa taratibu mpya juu ya utoaji wa Mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu, zimesikika kelele na vilio vya watoto wa Kimaskini juu ya hatma yao Masomo.
Watu wengi wamelaani taratibu hizo kuwa siyo rafiki kwa wanafunzi hao. Pamoja na hayo ni wanafunzi wachache tu ndiyo wamebahatika kupata mkopo katika awamu ya kwanza.
Nimekua nikijiuliza sana hii ina maana gani ikiwa Mh Rais John Pombe Magufuli aliahidi kuwa wanafunzi wote wenye sifa ya kusoma chuo kikuu wanapatiwa mikopo. Mbona ahadi yake na hali halisi hazilandani kabisa?
Je,ni kweli serikali imekosa fedha za kuipatia Bodi ya Mikopo ili wawapatie Wanafunzi? Je,ni katika harakati za Serikali kubana matumizi ili kizidisha kile wanachokiita maendeleo?
Kati ya hayo maswali yangu hapo,siamini kabisa kwamba Serikali haina fedha za kuwapatia wanafunzi. Pili,serikali haiwezi kubana matumizi mpaka kufikia hatua ya kuwanyima baadhi ya wanafunzi mikopo.
Kelele nyingi zimepigwa na wadau wa elimu,Shirikisho la Wanafunzi wa vyuo vikuu,wahanga wa tukio lenyewe na watu wengi mtaani wanasikitika.
Jambo hili limekua ndo mazungumzo makuu mitandaoni na hata mitaani. Yaani limeteka sana hisia za watu wengi. Hata serikali pia inalitambua hili kuwa hali si nzuri.
Nikionacho ni kwamba Serikali ya awamu ya 5 inajaribu kutafuta attention ya watu ili baada ya muda mfupi watoe mikopo kwa wanafunzi wengi baada ya hapo serikali itasifiwa na kupewa sifa za kutosha.
Kwa nilichokisikia ni kuwa Mh Rais anaweza kuwa mgeni rasmi kwenye sshughuli ya kusherehekea miaka 55 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).
Je,ni hapo ndipo atakapopandisha mizuka na kusema wnafunzi wote wapatiwe mikopo kisha kushangiliwa na Umati wa wanafunzi watakaohudhuria?
Hii siyo kiki kweli?
TUSUBIRI TUONE.