Mbona majibu ya maswali yako yapo kwenye hii story ya jamaa inaonekana hujitambui
Ila bado mnapokea ARV na Chanjo za watoto ?Mabeberu ni hatari kwa ustawi wa taifa letu
Hajabu ufipa hawalioni hilo
Kwani waliokuwa wakweli ndo Imeisha??.Kama hamtakuwa wakweli kuhusu Corona mtawapoteza wengi
Nani alikuambia barakoa inazuia corona mbwa wewe!? Mshipa wa shingo umekukomaaa barakoa barakoa.
Unakuta mtu una degree ya procurement unageuka consultant wa public health an virology??Nani alikuambia barakoa inazuia corona mbwa wewe!? Mshipa wa shingo umekukomaaa barakoa barakoa.
Hajabu ndo manini babu?Mabeberu ni hatari kwa ustawi wa taifa letu
Hajabu ufipa hawalioni hilo
Soma tena comment yangu uielewe,nimemshauri asubiri comments za wataalamu,huwezi kupinga kitu fulani kua hakiwezekani kua hacked wakati huna elimu nacho,yeye amepinga moja kwa moja bila hata kuweka Vivid evidence,Mbona hata wewe mkuu hujacomments chochote zaidi ya kumshambulia mwana jf mwenzie??
Waliomshambulia mshawakamata?hata mimi nina wasi wasi Lisu kahusika, alijuaje rais anaumwa? akamatwe mara moja
Waliokwenye system yenu ndio waongeaje.hata mimi nina wasi wasi Lisu kahusika, alijuaje rais anaumwa? akamatwe mara moja
mkuu kuvuja kwa taarifa kunatokana na matumizi ya teknolojia, ukishatumia teknolojia ni ngumu kuuepuka mtandao wa majasusiUjasusi ni mtandao sio mtu otherwise mbona chahali ali break the news kuwa JPM kafariki ilihali hayupo TZ? Ukimtumia kma source ina maana ni beberu?
Ndio maana hata wakati mnabisha kwamba Rais haumwi magazeti yalimuhoji Balozi wa TZ huko Namibia..... Sasa utasema taarifa za bongo huko Namibia wamejuaje?
Ujasusi ni mtandao (Spy ring) so lazima kuna flow ya mawasiliano kutokea mtu aliyeko ikulu mpaka jasusi aliyepo Sauzi ama US.