Je, nini kipo nyuma ya BBC na hatma ya Ukristo na Wakristo duniani Ushoga kama mwelekeo wake Mpya?

BBC ni wanoko sana
Habari zao wanafuata serikali ya UK wanasemaje ndio nao wanafuata hata kama ni haki hawasemi
Rejea Hamas na Israel tu Rishi aliposema tu nao Waka base upande wake
Ila kuna Radio moja hapa inaitwa LBC wanapinga ujinga sana wao wanaongea na kuwaweka kitimoto live viongozi
Mimi naangalia TV news kama Al Jazeera ya kiarabu/English na RT International na bora hata DW
Waliposema papa anasapoti ushoga mlishangilia sana Sasa Leo BBC imewapa kibano manalialia kama mbwa
 
Hakuna kama Yehova,


1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,

2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%

3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,

4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,

5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,

6. Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,

7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa jakobo etc


#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC
Usituchoshe na dini zenu za kitapeli, endeleeni kuoigani 🖕🖕🌈🌈
 
BBC wanatoa habari za kweli hizi nguvu unazotumia ungetumia kupambana na Papa aliewaruhusu ushoga wanaume kwa wanaume muowane na muende kanisani mkabarikiwe
Kama Papa angekua amesingiziwa angekanusha hizo habari au kuwashtaki Bbc
 
Hakuna kama Yehova,


1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,

2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%

3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,

4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,

5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,

6. Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,

7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa jakobo etc


#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC
Tueleze elimu yako, umewahi kutembelea nchi ngapi, umewahi kufanya tafiti ngapi na unajua kuongea vizuri sana lugha ngapi za kimataifa, hii itatusaidia kuuamini utafiti wako.
 
Hata mimi naona BBC na ushoga damudamu na kwa sasa wamegeuka kuwa wasemaji wa Kanisa Katoliki hata kuliko sources of information of Kanisa Katoliki kama vile Vatican News, CNA (Catholic News Agency) au EWTN. Na hasa wanaweka mlengo wao mbele zaidi kuliko ukweli wa habari husika. Mfano, wachangiaji wengi wanaochangia kuhusu Papa alichosema kuhusu ushoga na ndoa za mashoga wanachukua maoni ya BBC zaidi kuliko Declaration (Fiducia Supplicans). Na pia document imeongelea watu walio katika 'irregular marriage", lakini hawa BBC haijawagusa kabisa kwa sababu mlengo wao ni ushoga (sijui ni kampeni pia?).
BBC wamesema kipi tofauti na alichosema Papa kuhusu ushoga??
Kama BBC wamepotosha Maaskofu mbalimbali wa Nchi za Africa kwa nini walitokwa na povu kuhusu waraka wa Papa??
 
sawa ata kama nchi za kiislam zina mashoga wengi,lakini,taasisi ya kiislam ktk mamlaka yake ya juu,haijatoa TAMKO kwamba mashoga wanastaili kuhudumiwa{mimi ni mkristo msema kweli],lakini sisi wakristo,au wakatoliki,ata kama hamna mashoga,lakini mkuu we2 wa ngazi za juu kabisa PAPA sijui NYANGUMI kasema!!!"makasisi wawabariki MASHOGA"!!!
 
BBC wamesema kipi tofauti na alichosema Papa kuhusu ushoga??
Kama BBC wamepotosha Maaskofu mbalimbali wa Nchi za Africa kwa nini walitokwa na povu kuhusu waraka wa Papa??
Kwani hata hao maaskofu walisema kipi ambacho kilikuwa kimeandikwa kwenye Declaration? Hata walichosema maaskofu si BBC ndio waliosema maaskofu wampinga Papa? Au kama una waraka wa maaskofu wowote ambao wamepinga waraka uweke hapa tuone kama walichokisema ni kile kilichoandikwa kwenye Declaration. Nasubiri uweke waraka wa baraza lolote la Maaskofu Afrika ambao wamepinga hiyo Declaration. Maani ni vizuri tukaongea kwa data (facts) kuliko mambo ya kubuni kichwani au mihemko.
 
Waislam Huwa wamenyooka sana Kwa misimamo ya Imani yao,kufikia wakati kuitwa magaidi,Wakristo mnapoambiwa ukweli ni wagumu Kwa kuwa mmeshawafanya binadamu wenzenu miungu na Dunia kuwakamata mpaka hamuoni Wala kusikia,hiyo ndio shida ya kutegemea binadamu wenzenu.
 
Sio rahisi BBC kutoa kashifa za uongo because of the legal consequences. Hii ni habari imetoka after thorough investigation, na kubaini TB Joshua alikuwa tapeli, mwizi, mbakaji, muuza ndaga na muuaji.
Ogopa sana matapeli wa Nigeria
BBC walishawahi kuripoti kwamba wachina wamepewa kibari kufungua vituo vya polisi Tanzania
 
Hapo umewasingizia bure! BBC wanajitahidi kuripoti taarifa za Uhakika!
Na hawafichi taarifa!
Taarifa ambazo BBC walizitoa juu ya Papa kuruhusu kubarikiwa kwa ndoa za Mashoga ni za kweli, vinginevyo Maaskofu katika nchi mbali mbali hususani Afrika wasingepinga maagzo ya Papa! Sasa wangepingaje kama kauli aliyotoa Papa siyo ya Kweli?
Kuhusu TB Joshua, wameripoti taarifa zake kutoka kwa watu ambao walijua uovu wa TB Joshua!
kula konyagi kubwa braza!
 
Waliposema papa anasapoti ushoga mlishangilia sana Sasa Leo BBC imewapa kibano manalialia kama mbwa
Mimi sina mda wa haya
Changia hoja kwa heshima
Hata kuhusu ushoga wengi tulichangia lakini kuita watu mbwa unakosea sana
Huu ni mjadala huru wa bila matusi, heshima wenzio
Hapa uk kuna BBC TV na radio zaidi ya 100
 
Back
Top Bottom