Je, ni sahihi kwa Kamati kukata jina la Mshindi wa Kura za ndani bila sababu za maana?

Iwaay

Member
May 21, 2016
36
55
Mtia nia anashinda kura za ndani kwa wajumbe halafu Kamati inakuja kumkata kisa sababu zao wanazojua. Swali ikiwa ndani kwa wajumbe alipita je ukimkata atahama na wajumbe wangapi?

Je, hao wajumbe wanawapiga Kura wangapi ambao wanaweza kuhama na mtu wao?

Mwisho wa siku jimbo hiloo kisa kiongozi mmoja ndani anamalahi yake kwa kutaka mtu wake apite?
 
Wengine wameingia kwa rushwa. Nadhani hiyo ndio itakuwa kigezo kikubwa. Na kama ndio hivyo acha tu wakatwe.
 
Mtia nia anashinda kura za ndani kwa wajumbe afu kamati inakuja kumkata kisa sababu zao wanazojua. Swali ikiwa ndani kwa wajumbe alipita je ukimkata atahama na wajumbe wangapi?. Je hao wajumbe wanawapiga Kura wangapi ambao wanaweza kuhama na mtu wao?. Mwisho wa siku jimbo hiloooo kisa kiongozi mmoja ndani anamalahi yake Kwa kutaka mtu wake apite???
Pole sana, kazi ya wajumbe Ni kutoa dira tu, vikao vya juu vikiona hufai utakatwa tu
 
Katika hili kamati kuu ikifanya makosa sio kwamba chama kitapasuka bali kitalipuka kabisa.
 
Mtia nia anashinda kura za ndani kwa wajumbe halafu Kamati inakuja kumkata kisa sababu zao wanazojua. Swali ikiwa ndani kwa wajumbe alipita je ukimkata atahama na wajumbe wangapi?

Je, hao wajumbe wanawapiga Kura wangapi ambao wanaweza kuhama na mtu wao?

Mwisho wa siku jimbo hiloo kisa kiongozi mmoja ndani anamalahi yake kwa kutaka mtu wake apite?
Hakatwi mtu bila sababu, wake up guy
 
Wajumbe wala hongo huwa hawana madhara kwa chama. Maana wengi wao hawana watu nyuma yao wa kuwaunga mkono
 
Back
Top Bottom