KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Bi Sent
Tunaomba utusaidie katika kutoa majibu ya maswali yaliyoulizwa katika waraka huu. Mimi naona mwanakijiji amenyabulisha mambo kwa utaalamu wa hali ya juu sana ambapo hata rafiki yako kasungura ataomba wamusomee kwa sauti ndogo.
Haya yaliyoulizwa pia JK alipofika ktk kipengere(Channel 10) hicho alionekana kupata kigugumizi pia, akifikiri bado wananchi tumefungwa minyororo na yeye tu ndiye mwenye kusoma jambo na kuelewa.
Mafisadi ninachojua huwa wanakaa karibu sana na wanasheria hawawezi kwenda mahakamani, hawawezi kwenda kujishitaki.
Mwanakijiji kwa hili anastaili pongezi, tunaomba Bi sent akishindwa aombe msamaha tu!
Tunaomba utusaidie katika kutoa majibu ya maswali yaliyoulizwa katika waraka huu. Mimi naona mwanakijiji amenyabulisha mambo kwa utaalamu wa hali ya juu sana ambapo hata rafiki yako kasungura ataomba wamusomee kwa sauti ndogo.
Haya yaliyoulizwa pia JK alipofika ktk kipengere(Channel 10) hicho alionekana kupata kigugumizi pia, akifikiri bado wananchi tumefungwa minyororo na yeye tu ndiye mwenye kusoma jambo na kuelewa.
Mafisadi ninachojua huwa wanakaa karibu sana na wanasheria hawawezi kwenda mahakamani, hawawezi kwenda kujishitaki.
Mwanakijiji kwa hili anastaili pongezi, tunaomba Bi sent akishindwa aombe msamaha tu!