klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
Naona itakuwa ni vizuri sana ukafanya pita pita yako nyingine ambayo itakupa picha halisi ya matatizo ya maisha badala ya hii uliyokuja nayo ambayo haina ukweli wowote.
hii sredi imekosa thamani kama dola za zimbabwe.
dah! mkuu ni lawyer wa kakakiiza nini? anaweza akawa na "right message" lakini "wrong lingustic approach" , labda nikuulize wewe have u thought greatly?thamani ipo labda tatizo ...have you thought greatly? na kama ndiyo wapi ulipofikiria kwa kina.
''I cannot agree to die with the truth''.... hata kama ukweli nimezaliwa nao.
hii sredi imekosa thamani kama dola za zimbabwe.
yp wanawake ukawaendekeza,unakufa maskini!! we men need to control ouslf.
msiwe mnaingia jf mkiwa mmeshakunywa mataputapu.....
upuuzi mtupu......
this world means nothin without womens..............
Una haki ya kukwazika DA. Katika ile list ya mafisadi iliyotolewa na CHADEMA hakukuwa na jina hata moja la mwanamke. Katika majina ya waliotuingiza kwenye mkenge wa Kagoda, Meremeta, Rada, ununuzi wa ndege ya Rais, helicopters na magari ya jeshi, mikataba feki ya uchimbaji wa madini yetu, TRL n.k. katika wale wahusika walioudanganya Ulimwengu kwamba Saddam alikuwa na silaha za maangamizi (WMD) na "We know where they are" pia hakukuwa na jina la mwanamke, lakini ushahidi huu wote bado watu wanaona matatizo yote ndani ya nchi yetu na labda duniani kote yakiwemo ya kuanguka kwa uchumi eti yanasabababishwa na Wanawake! Mtatafute mengine ya kuwabebesha/kuwalaumu Wanawake lakini siyo hili.
KAKA KIIZA USIOGOPE....toba ni siri kati ya anayetubu na anayetoa msamaha{MUNGU} na huyo huyo ndiyo aliyemwumba kwanza adam mwanaume na kisha eva mwanamke na mwanamke ametoka kwa mwanamume na siyo mwanamume ametoka kwa mwanamke au una badili kanuni ya creation of GOD.....Na ukirejea hapo kwenye reds watu na wakristo wote duniani wanajua hivyo......mnabeba tu biblia na kuvaa vimini muwe mnazisoma.
''Mungu kazi yake si kuwapa watu vichaa na kama anatoa hayo...basi kwa wasiojua neno lake'';....I was born in this way,how can I change it?
Kwa kusema ukweli wangu nyie mmeamua kuniweka msalabani??
*Wanawake bila ya kujalisha mmetuzaa lakini nyie mpo nyuma ya matatizo mengi tunayoyaona hapa duniani!naanza na nchi jirani hamkuona fesiti ledi anayumbisha nchi?anapiga hovyo waandishi vunja mastudio????je huyo anawakilisha wanawake wangapi???
*Je hapa kwetu viongozi waliokamatwa na wanawake wakule kaskazini simliona walichokifanya??je H.Kitinne alijiudhuru kwa sababu gani??kwanini tusiwalaum wanawake??
*Je hapa fesiti led hamkuona alivyo sababisha malizetu kukwapuliwa???kama vile hazina mwenyewe?je anawakilisha wanawake wangapi???
*Hapo Zambia mwanamke wa chiluba mliona alichokifanya ktk nchi ile sina chakuelezea!!!
*Pale SouthAfrica Winnie Mandela alifanya nini??
*Uganda festi ledi alimlazimisha mumewe amuweke katika kabineti yake ya mawaziri je huyo mama anawakilisha wanawake wangapi??
*Haya turudi hapa kwa Waziri wa wanawake hapo sina chakusema nadhani mnajua wenyewe!!
*NAWASHUKURU WOTE MLIONIBEZA KWANJIA MOJA AU NYINGINE NI UHURU WA MAWAZO MLITAKIWA MUWETOFAUTI NAMIMI KWA HOJA SI KWA KUNITUSI NA KUNIKASHIFU LAKINI NITASIMAMA KWENYE UKWELI MATATIZO MENGI WANASABABISHA WANAWAKE!!
Wanawake wote na wewe japo nimekuletea chumbani!Pole Dena AmsiHayo maneno kaanze kumwambia Mama yako mzazi, dada yako, Mkeo, shangazi zako wote, ukimalizia na Bibi yako.
Ukishawaambia hao wote ndo urudi kutuambia na sisi.
Siku njema KK
kwa hio mzigo tupige sisi wao wasubirie tu kupelekewa mbona unasapoti mada indirect way......................Mkuu mbona unawalaumu wakat ndio wanasababisha tufanye kaz kwa bidii tunapata mshko wk end tunawapalekea!