KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,575
- 8,595
Katika pitapita yangu nimekuja kugundua matatizo yote ya maisha wanao sababisha ni wanawake!!Kwani wanawake bila ya kujalisha aliyeolewa na ambaye ajaolewa wote ndiyo wanaosababisha ugumu wa maisha,na kusababisha kushuka kwa uchumi wa nchii kwani wao ndiyo wamesababisha matatizo yote yaliyoko hapa nchini!!!Hata mafisadi wamekamatwa na wanawake hadi kusababisha nchii kuwa ombaomba!Hivyo hata sikuyawanawake dunianihaina tija kama wao wanasema penye maendeleo mwanamke yupo nyumayake je kwa nini tuwe masikini nawao wapo???