Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 323
Wanawake ndiyo pambo la dunia! Bila wao dunia haina maana. Biblia inatuambia tuishi nao kwa akili. Kama wewe umeshindwa kuishi na mwanamke kiasi cha kuwadharau hivyo, maana yake ni kwamba huna akili, full stop!! Sina cha kuongeza.
Mtoto wa nyoka daima ni nyoka. Kama baba yako Adamu hana akili vivyo hivyo nawe huna akili kwa mtazamo wa fikra zako. Mjibu mpumbavu kwa kadri ya upumbavu wake. Sina cha kuongeza pia!