MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Wadau nawasalimu.Mimi sina Ufahamu MKUBWA wa Masuala ya Sheria .Ninaomba kufahamishwa juu ya Suala mzima la UTEKELEZAJI wa HUKUMU zinazotolewa na MAHAKAMA zote.
Nimekuwa nafuatilia baadhi ya KESI na HUKUMU zake .MAHAKAMA nimekuwa zinazotoa HUKUMU mbalimbali zipo zinazotekelezwa na zipo zisizotekekezwa na Watu, Ofisi mbalimbali za Serikali na Mashirika Mbalimbali.Sababu za kutotekeleza Hukumu hizo nyingi zitakuwa ni KUTOKUTAKA TU kuzitekeleza ili Mhusika akate Tamaa.Nilikuwa naamini kama Mtekelezaji hataki au hakubaliano na Hukumu angekata Rufaa lakini hafanyi hivyo na matokeo yake Ni kumnyima HAKI mhusika kwa Makusudi.
Kutokana na hali hiyo ndio maana nimeuliza JE MAHAKAMA ina KITENGO Kinachofuatilia UTEKELEZAJI wa HUKUMU zake?
Umuhimu wa Kuwa na KITENGO hicho kutawasaidia WANANCHI kupata HAKI ZAO kama zilivyoamuliwa na MAHAKAMA tofauti na USUMBUFU unaofanywa na Wasio taka KUTEKELEZA HUKUMU za MAHAKAMA.
KITENGO hicho kitawasaidia Wananchi kwenda Kutoa MALALAMIKO yao kwenye Hicho KITENGO na HATUA za Haraka zitachukuliwa kwa wale Waliokataa Kutekeleza HUKUMU za MAHAKAMA.
OMBI kwa JAJI MKUU tunaomba Kuwe na CHOMBO cha Kufuatilia Utekelezaji wa HUKUMU zitolewazo na MAHAKAMA ili kuwaondolea USUMBUFU wananchi.
Nimekuwa nafuatilia baadhi ya KESI na HUKUMU zake .MAHAKAMA nimekuwa zinazotoa HUKUMU mbalimbali zipo zinazotekelezwa na zipo zisizotekekezwa na Watu, Ofisi mbalimbali za Serikali na Mashirika Mbalimbali.Sababu za kutotekeleza Hukumu hizo nyingi zitakuwa ni KUTOKUTAKA TU kuzitekeleza ili Mhusika akate Tamaa.Nilikuwa naamini kama Mtekelezaji hataki au hakubaliano na Hukumu angekata Rufaa lakini hafanyi hivyo na matokeo yake Ni kumnyima HAKI mhusika kwa Makusudi.
Kutokana na hali hiyo ndio maana nimeuliza JE MAHAKAMA ina KITENGO Kinachofuatilia UTEKELEZAJI wa HUKUMU zake?
Umuhimu wa Kuwa na KITENGO hicho kutawasaidia WANANCHI kupata HAKI ZAO kama zilivyoamuliwa na MAHAKAMA tofauti na USUMBUFU unaofanywa na Wasio taka KUTEKELEZA HUKUMU za MAHAKAMA.
KITENGO hicho kitawasaidia Wananchi kwenda Kutoa MALALAMIKO yao kwenye Hicho KITENGO na HATUA za Haraka zitachukuliwa kwa wale Waliokataa Kutekeleza HUKUMU za MAHAKAMA.
OMBI kwa JAJI MKUU tunaomba Kuwe na CHOMBO cha Kufuatilia Utekelezaji wa HUKUMU zitolewazo na MAHAKAMA ili kuwaondolea USUMBUFU wananchi.