Je kwa hili amuoni kama Zitto ni kibaraka?

Baada ya uchaguzi mkuu 2010 kuisha kikao cha kwanza cha bunge kiliendana na uundaji wa kamati!ccm walijitaidi kwa nguvu zote kuitikisa kambi rasmi ya upinzani bungeni iliyokuwa inaundwa na cdm ili zile kamati za kudumu za bunge zinazoongozwa na upinzani zote zisiangukie kwa cdm coz is a threat kwao.walitengua hadi kanuni ili vyama vingine mamluki vipate nafasi!mapesa,l.mrema walipigiwa kura za kishindo pamoja na zitto kabwe waliyekua wanamuunga mkono!tujiulize hivi katika mazingira ya kawaida ccm wangeweza kumpigia kura lissu?na je kwa nini zitto walimtaka?maoni yangu ni kuwa wanamtumia na yuko under special contract kuimaliza cdm!naomba mawazo yenu
Gamba at work!
 
Hebu nijibu hili swali!
Unajua ni kw nini VIONGOZI wa chadema wanampandisha sana jukwaani ZITTO? ukipata jibu utajua umuhimu wa zito kwenye chama cha MTEI.

Ukitaka Kumjua Zitto Muulize Sitta (Kirumba), Kilango (Kiwira) na Nchimbi (Songea) hao ndio wana CCM wanaomfahamu Zitto na sio wewe mbeba Biskuti tume ya Katiba
 
ninamini ZITO si tishio kwa maslahi ya ccm na wezi wengine wa mali ya umma.

Kama Zitto aliwahi kumuunga mkono RA NA MAPAPA wenzake katika kuishinikiza serikali inunue MITAMBO YA KUFUA UMEME YA DOWANS, utasema ZITTO ni turufu ya CDM katika future plan ? ZITTO anajua hatakiwi na hapendi CDM na yuko ongear kwenda ccm, ila anachotaka ni kufukuzwa, na sisi tumejua hatutamfukuza hadi aondoke mwenyewe kwende kwenye chama cha wezi.
 
Unachosema bloo ni kweli tupu huyu jamaa hasomeki kabisa kunamatukio mengi haendani na wenzake lakini Zito pale kafika wale kina slaa ni very bright kwingine wangeisha mtimua kama ndugu ya kd Kafulila Mtei ni mwanzilishi wa chama mafanikio ya kisiasa nakimaisha ya kina Zito ni mchango mkubwa wa mwasisi huyo hivi mfn tumeingekuwa na wakrito wengi watu wasingesema sasa huyu Mzee kakosea wapi?mbona Nyerere alifoka juu ya Oic ya waislamu je alikuwa mdini?nafikiri watu waliona anaongelea umoja wetu wakasema ndicho anacho sema mtei ,ahsante mtoa hoja
 
ninamini ZITO si tishio kwa maslahi ya ccm na wezi wengine wa mali ya umma.

Kama Zitto aliwahi kumuunga mkono RA NA MAPAPA wenzake katika kuishinikiza serikali inunue MITAMBO YA KUFUA UMEME YA DOWANS, utasema ZITTO ni turufu ya CDM katika future plan ? ZITTO anajua hatakiwi na hapendi CDM na yuko ongear kwenda ccm, ila anachotaka ni kufukuzwa, na sisi tumejua hatutamfukuza hadi aondoke mwenyewe kwende kwenye chama cha wezi.

Another Gamba at Work. Mkuu Hata Mkeshe Makaburini Kuombea CDM isambaratike kamwe hamtafanikiwa kwa Sababu CDM ni Nguvu ya Umma
 
Heshima kwenu wana JF.
Kwa watu wenye mapenzi mema na harakati za kuikomboa Tanzania, Zito ni mtu wa kuangaliwa sana kwani kuna wengi wanamtumia kumjenga ili huko mbeleni waisambaratishe CDM. Nashukuru wengi wanalijua hilo ingawa wanalazimishwa waukane ukweli.
 
Back
Top Bottom