MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
- Thread starter
- #41
Mad na Nut kama Wewe haunisumbui!!!Tatizo kubwa sana la hii nchi Ni hili wimbi la vijana wengi kubugia POMBE KALI na BANGI.
Muda wote wanaona MARUWERUWE na kuhisi his vitu hata ambavyo HAVIPO.
Bashite akimbie kwa ISSUE gani kubwa hiyo?
Serikali mpaka sasa haijaonesha Nia ya KUMSHTAKI.
Clouds wenyewe ambao ndio WAHUSIKA ( VICTIMS) mpaka sasa wamejiweka pembeni, hawatoi ushirikiano Wala KUHUSIKA kwenye KESI.
Kilichopo Ni KUBENEA KUPIGA SIASA na kuuza vipeperushi vyake tu. Hakuna kitu serious chochote mpaka sasa zaidi ya UPUMBAVU na wapumbavu tu kupata vijiagenda vya kusukumia SIKU mitandaoni.