Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,836
- 35,288
Dah!....mtu yeyote aliyepata mafunzo ya kiusalama kwa kwenye taasisi husika anawezaa kushika hiyo nafasi kama amekidhi vigezo hata kama ni Daktari, Mwalimu, Mhadhiri, Mhandisi, Mchumi, Mhasibu, Mtaalamu wa Computer, n.kUnamchagua Polisi kuwa DG wa TISS what a joke