Ni vigumu sana Taasisi Nyeti kama CIA, FSB na MOSSAD Kuhongeka na kuwekwa Mfukoni mwa Matajiri. Je, hii ni kwa nchi zingine pia?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,115
110,505
Kuna taifa moja Duniani (kwa sasa nimelisahau) wao wameshakubali idara yao nyeti na iliyokuwa ikisifika miaka ya nyuma sasa kununulika (hasa watendaji wake baadhi ila siyo wote), kupenda na kupokea hovyo rushwa kwa tamaa ya kuwa matajiri hali ambayo inaihatarisha hiyo nchi kiusalama kwa siku zijazo.

Na hofu yangu zaidi GENTAMYCINE kwa hiyo nchi (niliyoisahau jina lake kwa sasa) ni kwamba, kama tu idara yao nyeti imeanza kununulika nunulika (kwa baadhi wa watendaji wao) wenye dhamana kubwa na kiapo cha kulinda maslahi ya taifa hilo, kirusi hicho pia kinaweza kupenya hadi katika jeshi imara na kali linaloheshimika la nchi hiyo (niliyoisahau) hasa idara yake (yao) ya CMI. Hivyo taifa lao hilo likawa ni mali ya mataifa mengine na hata maadui zake wakuu.

Nitoe tu pongezi zangu binafsi kwa idara nyeti za Tanzania (TISS) na Burundi (SNR) kwa kutokuwa idara nyeti pekee barani Afrika zisizokuwa na mapungufu haya niliyoyaelezea kwa utuo (undani) kabisa hapa juu.

Baba Mungu iponye hiyo idara nyeti.
 
Idara nyeti na sheria nyeti za kutisha pasi na wasimamizi wasiokula rushwa hata kazi utaihofia
Ila hata hiyo nchi uliyoisahau na Mimi imenishangaza maana kiwango Cha watendaji ni hatari.
 
Ni kwamba yule jamaa yako unaemsigu kutukuka Sasa anunue kopo za kutosha za Valium maana hali imebadilika baada ya chawa mpya wa magharibi bwana huslaa kupewa viatu aingie uwanjani hapo shamba kubwa.

Na kwakuwa bwana yule mrefu aliitoa nchi yake katika jumuiya ya kuongea kishakozii bhas ndio anazidi kuwa vulnerable zaidi maana wana hasira nae sana tu na atakuwa mtu kati hana pa kukimbilia na ndio maana kuweweseka kumekuwa kwingi.

Mwanadiplomasia wa ngazi za juu kabisa wa Kwa Obama huko ameshamwambia ahakikishe anakubali kupatikana Kwa amani huko shambani... Maana yake ni kumuachia nafasi chawa mpya bwana huslaa afanye kazi kule...

Amepigwa ndoigee.. Ni wakati wa kutafuta popcorn tu Sasa...

Hao waliopenya Kwa kununua watu ni kawaida maana katika kutumiwa Kuna kutumika pia wakati huo huo.. Hiyo ni kwa kujua au kuto kujua na kazi iendelee
 
Unaziteta vibaya taasisi zetu halafu baadae mwishoni unazisifia kinafiki (tuchape kazi tuache unafiki).
 
Kuna taifa moja Duniani (kwa sasa nimelisahau) wao wameshakubali idara yao nyeti na iliyokuwa ikisifika miaka ya nyuma sasa kununulika (hasa watendaji wake baadhi ila siyo wote), kupenda na kupokea hovyo rushwa kwa tamaa ya kuwa matajiri hali ambayo inaihatarisha hiyo nchi kiusalama kwa siku zijazo.

Na hofu yangu zaidi GENTAMYCINE kwa hiyo nchi (niliyoisahau jina lake kwa sasa) ni kwamba, kama tu idara yao nyeti imeanza kununulika nunulika (kwa baadhi wa watendaji wao) wenye dhamana kubwa na kiapo cha kulinda maslahi ya taifa hilo, kirusi hicho pia kinaweza kupenya hadi katika jeshi imara na kali linaloheshimika la nchi hiyo (niliyoisahau) hasa idara yake (yao) ya CMI. Hivyo taifa lao hilo likawa ni mali ya mataifa mengine na hata maadui zake wakuu.

Nitoe tu pongezi zangu binafsi kwa idara nyeti za Tanzania (TISS) na Burundi (SNR) kwa kutokuwa idara nyeti pekee barani Afrika zisizokuwa na mapungufu haya niliyoyaelezea kwa utuo (undani) kabisa hapa juu.

Baba Mungu iponye hiyo idara nyeti.
Vyuma ndo vinazidi kukaza njaa Kila Kona so what next? Ni Kula rushwa, licha ya incentives kibao kwenye vitengo vyao still pesa aijawahi tosha neither.
 
Kuna taifa moja Duniani (kwa sasa nimelisahau) wao wameshakubali idara yao nyeti na iliyokuwa ikisifika miaka ya nyuma sasa kununulika (hasa watendaji wake baadhi ila siyo wote), kupenda na kupokea hovyo rushwa kwa tamaa ya kuwa matajiri hali ambayo inaihatarisha hiyo nchi kiusalama kwa siku zijazo.

Na hofu yangu zaidi GENTAMYCINE kwa hiyo nchi (niliyoisahau jina lake kwa sasa) ni kwamba, kama tu idara yao nyeti imeanza kununulika nunulika (kwa baadhi wa watendaji wao) wenye dhamana kubwa na kiapo cha kulinda maslahi ya taifa hilo, kirusi hicho pia kinaweza kupenya hadi katika jeshi imara na kali linaloheshimika la nchi hiyo (niliyoisahau) hasa idara yake (yao) ya CMI. Hivyo taifa lao hilo likawa ni mali ya mataifa mengine na hata maadui zake wakuu.

Nitoe tu pongezi zangu binafsi kwa idara nyeti za Tanzania (TISS) na Burundi (SNR) kwa kutokuwa idara nyeti pekee barani Afrika zisizokuwa na mapungufu haya niliyoyaelezea kwa utuo (undani) kabisa hapa juu.

Baba Mungu iponye hiyo idara nyeti.
Ben Franklin "Money never made a man happy yet, nor will it..."

images.jpg
 
Vyuma ndo vinazidi kukaza njaa Kila Kona so what next? Ni Kula rushwa, licha ya incentives kibao kwenye vitengo vyao still pesa aijawahi tosha neither.
Kibaya badala ya kuchapa kazi anajibidisha na majungu, what's a shits! (majungu si mtaji)
 
Vyuma ndo vinazidi kukaza njaa Kila Kona so what next? Ni Kula rushwa, licha ya incentives kibao kwenye vitengo vyao still pesa aijawahi tosha neither.
Nasikia katika hiyo Nchi ( Niliyoisahau ) ukiwa recruited tu huko halafu ndani ya mwaka Mmoja au Mitatu huna Magari ya Kifahari hata Mawili na Nyumba ya Kifahari si tu kwamba Wenzako Watakucheka bali watakuona ni Mpumbavu mno kwani Pesa za Kuhongwa ( Rushwa ) huwa ni nyingi na za Nje Nje kutokana na Vitambulisho vinavyotisha vya Idara ( Taasisi ) yao.

Sijui kwanini kila mara tu ninaisahau.
 
Nasikia katika hiyo Nchi ( Niliyoisahau ) ukiwa recruited tu huko halafu ndani ya mwaka Mmoja au Mitatu huna Magari ya Kifahari hata Mawili na Nyumba ya Kifahari si tu kwamba Wenzako Watakucheka bali watakuona ni Mpumbavu mno kwani Pesa za Kuhongwa ( Rushwa ) huwa ni nyingi na za Nje Nje kutokana na Vitambulisho vinavyotisha vya Idara ( Taasisi ) yao.

Sijui kwanini kila mara tu ninaisahau.
anyway ngoja tuende Kama thread inavotaka.
Kwenye hio nchi ukiweka uzalendo mbele utakufa masikini, wachumia tumbo wapo nyomi
 
Back
Top Bottom