GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,962
- 109,778
Nimepitia michango ya Watu mbalimbali ya Mitandaoni na hata katika Vijiwe vyangu mbalimbali na leo ndiyo naukamilisha Utafiti wangu usiokuwa rasmi kwamba kama kuna Taifa la Watu ' Wanafiki ' ispokuwa GENTAMYCINE labda na baadhi basi ni Tanzania.
Na hapa wala sipepesi macho, simung'unyi maneno na sitikisi masikio na ' najilipua ' rasmi kwa kusema wazi wazi kuwa kama kuna Mtu ambaye haumizwi wala hamuonei huruma huyu Mrembo Amber Rutty kwa kilichomkuta basi ni Mimi GENTAMYCINE kwa sababu ambazo nitazieleza kwa uchache.
Watanzania tumekuwa ni wepesi sana wa Kuangalia pale tulipoangukia tu na siyo pale ambapo tulijikwaa hadi kupatwa na matatizo. Ni Mtanzania Mpuuzi pekee ndiyo atakuwa anamwonea huruma huyu Mrembo huku wengi wetu tukiambizwa Unafiki wetu na ' Mhamasishaji ' mmoja aliyeko Marekani pasipo hata na Sisi wenyewe kutumia akili zetu Kutafakari kwa Kina.
Hivi nyie ' Wanafiki ' mnaomtetea leo huyu Mrembo Amber Rutty mlikuwa hamumuoni huko nyuma akifanya huo Upuuzi wake huko Mitandaoni? Na bahati mbaya kuna wengine leo hii mnajifanya Kumtetea na Kumuonea bila kujua ya kwamba anaweza pia akawa hata ameshalala na Mabwana, Wapenzi na Waume zenu kitu ambacho ni hatari pia.
GENTAMYCINE sipendi Watu ama Kuonewa au kwenda Jela au kupatwa na matatizo yoyote ila pia ni Mfuasi mzuri sana kama siyo mkubwa wa Maadili na kwa matukio ya huyu Dada si tu amejidhalilisha Yeye pekee bali amewadhalilisha pia na Wanawake wengine wote ( wakiwemo hata na Mama zetu waliotuzaa ) ila leo Watu ' Mapopoma ' na ' Wanafiki ' wanajifanya Kumuonea Huruma na Kumtetea.
Hivi huyu Mrembo Amber Rutty alikuwa hajui kuwa anafanya Kitendo kibaya, cha Kujidhalilisha na pia ni Kinyume cha Utanzania wetu na Maadili? Hivi ' Psychologically ' kabisa mnajua ' negative impact ' ya hayo matendo yake dhidi ya Kizazi za sasa na Kijacho? Msitake kuniaminisha kwamba wengi wa Watu wanaomtetea leo huyu Mrembo ni ' Wapumbavu ' wa Kiwango cha Kimataifa.
Na mlivyo ' Wanafiki ' zaidi mnaacha kubakia katika uhalisia kamili wa Sakata lake ili Kulikemea lisije likatokea tena sasa hivi Kukamatwa Kwake mmeshaanza Kuhusisha na Chuki zenu za Kisiasa kwa Kuwalinganisha na Msanii Wema Sepetu na Kumuhusisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kwakuwa tu sijui Wema na Makonda wote wanatokea Chama cha Mapinduzi ( CCM ) chenye dhamana sasa ya Uongozi wa nchi.
Napingana sana na Mkuu wa Mkoa Makonda kwa baadhi ya Utendaji wake ( na hakuna asiyelijua hilo humu / hapa JamiiForums ) ila katika hili naungana na Mkuu wangu wa Mkoa Makonda kwa hatua za Kinidhamu alizozichukua dhidi ya huyu Mrembo Amber Rutty kwani yawezekana hatua Kali za Kisheria na Kinidhamu zitakazochukuliwa juu yake basi zikasaidia kumaliza tatizo na hata Kukiokoa na Kizazi cha sasa na Kijacho.
Hivi ' Logically ' kabisa tukiacha ' Unafiki ' ukichukua Picha za Wema Sepetu na za huyu Ambaer Rutty ni zipi ambazo si tu zinatia aibu bali pia ni hatari zaidi kwa Mila na Desturi zetu Watanzania? Najua na nakiri kuwa hata Wema Sepetu nae ana mapungufu yake ila angalau basi Yeye ' sometimes ' huwa anajirudi na pengine huwa anakengeka tena kutokana na ' Ulaibu ' wake wa Bange / Bangi za mara kwa mara ila angalau kuna muda huwa anajitambua.
Yaani Mwanamke anapiga Picha kabisa anapigwa ' ndole ' za maana na kufa Mtu huku ' akitambaliziwa unyabeni ' Kwake tena huku akitabasamu na Kuusikilizia ' Mkuyenge ' ukitiririka na kuserereka hadi ' anakunya ' pia hapo hapo kwa malipo ya Pesa halafu kabisa akikamatwa Mimi GENTAMYCINE nijitokeze Kumtetea?
Acheni yamkute kwani amevuna alichopanda kwa muda mrefu na hata mkinichukia kwa haya maelezo yangu ' poa tu ' ila sijaumbwa kuwa Mnafiki na sijazoea kuwa Mnafiki na siku zote nitasimama katika ukweli na uhalisia wa jamba husika. Na nawaomba pia Waandaji wa Mashindano ya Olympic miaka ijayo waweke Kipengele cha Mchezo mpya uitwao ' Unafiki ' ambao naamini na nina uhakika Tanzania tukishiriki basi kila mara tutakuwa tunaondoka na Medali nyingi mno za Dhahabu kwa ' tumetukuka ' kwa Unafiki.
Mwanamume nimeshatema ' nyongo ' tayari.
Nawasilisha.
Na hapa wala sipepesi macho, simung'unyi maneno na sitikisi masikio na ' najilipua ' rasmi kwa kusema wazi wazi kuwa kama kuna Mtu ambaye haumizwi wala hamuonei huruma huyu Mrembo Amber Rutty kwa kilichomkuta basi ni Mimi GENTAMYCINE kwa sababu ambazo nitazieleza kwa uchache.
Watanzania tumekuwa ni wepesi sana wa Kuangalia pale tulipoangukia tu na siyo pale ambapo tulijikwaa hadi kupatwa na matatizo. Ni Mtanzania Mpuuzi pekee ndiyo atakuwa anamwonea huruma huyu Mrembo huku wengi wetu tukiambizwa Unafiki wetu na ' Mhamasishaji ' mmoja aliyeko Marekani pasipo hata na Sisi wenyewe kutumia akili zetu Kutafakari kwa Kina.
Hivi nyie ' Wanafiki ' mnaomtetea leo huyu Mrembo Amber Rutty mlikuwa hamumuoni huko nyuma akifanya huo Upuuzi wake huko Mitandaoni? Na bahati mbaya kuna wengine leo hii mnajifanya Kumtetea na Kumuonea bila kujua ya kwamba anaweza pia akawa hata ameshalala na Mabwana, Wapenzi na Waume zenu kitu ambacho ni hatari pia.
GENTAMYCINE sipendi Watu ama Kuonewa au kwenda Jela au kupatwa na matatizo yoyote ila pia ni Mfuasi mzuri sana kama siyo mkubwa wa Maadili na kwa matukio ya huyu Dada si tu amejidhalilisha Yeye pekee bali amewadhalilisha pia na Wanawake wengine wote ( wakiwemo hata na Mama zetu waliotuzaa ) ila leo Watu ' Mapopoma ' na ' Wanafiki ' wanajifanya Kumuonea Huruma na Kumtetea.
Hivi huyu Mrembo Amber Rutty alikuwa hajui kuwa anafanya Kitendo kibaya, cha Kujidhalilisha na pia ni Kinyume cha Utanzania wetu na Maadili? Hivi ' Psychologically ' kabisa mnajua ' negative impact ' ya hayo matendo yake dhidi ya Kizazi za sasa na Kijacho? Msitake kuniaminisha kwamba wengi wa Watu wanaomtetea leo huyu Mrembo ni ' Wapumbavu ' wa Kiwango cha Kimataifa.
Na mlivyo ' Wanafiki ' zaidi mnaacha kubakia katika uhalisia kamili wa Sakata lake ili Kulikemea lisije likatokea tena sasa hivi Kukamatwa Kwake mmeshaanza Kuhusisha na Chuki zenu za Kisiasa kwa Kuwalinganisha na Msanii Wema Sepetu na Kumuhusisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kwakuwa tu sijui Wema na Makonda wote wanatokea Chama cha Mapinduzi ( CCM ) chenye dhamana sasa ya Uongozi wa nchi.
Napingana sana na Mkuu wa Mkoa Makonda kwa baadhi ya Utendaji wake ( na hakuna asiyelijua hilo humu / hapa JamiiForums ) ila katika hili naungana na Mkuu wangu wa Mkoa Makonda kwa hatua za Kinidhamu alizozichukua dhidi ya huyu Mrembo Amber Rutty kwani yawezekana hatua Kali za Kisheria na Kinidhamu zitakazochukuliwa juu yake basi zikasaidia kumaliza tatizo na hata Kukiokoa na Kizazi cha sasa na Kijacho.
Hivi ' Logically ' kabisa tukiacha ' Unafiki ' ukichukua Picha za Wema Sepetu na za huyu Ambaer Rutty ni zipi ambazo si tu zinatia aibu bali pia ni hatari zaidi kwa Mila na Desturi zetu Watanzania? Najua na nakiri kuwa hata Wema Sepetu nae ana mapungufu yake ila angalau basi Yeye ' sometimes ' huwa anajirudi na pengine huwa anakengeka tena kutokana na ' Ulaibu ' wake wa Bange / Bangi za mara kwa mara ila angalau kuna muda huwa anajitambua.
Yaani Mwanamke anapiga Picha kabisa anapigwa ' ndole ' za maana na kufa Mtu huku ' akitambaliziwa unyabeni ' Kwake tena huku akitabasamu na Kuusikilizia ' Mkuyenge ' ukitiririka na kuserereka hadi ' anakunya ' pia hapo hapo kwa malipo ya Pesa halafu kabisa akikamatwa Mimi GENTAMYCINE nijitokeze Kumtetea?
Acheni yamkute kwani amevuna alichopanda kwa muda mrefu na hata mkinichukia kwa haya maelezo yangu ' poa tu ' ila sijaumbwa kuwa Mnafiki na sijazoea kuwa Mnafiki na siku zote nitasimama katika ukweli na uhalisia wa jamba husika. Na nawaomba pia Waandaji wa Mashindano ya Olympic miaka ijayo waweke Kipengele cha Mchezo mpya uitwao ' Unafiki ' ambao naamini na nina uhakika Tanzania tukishiriki basi kila mara tutakuwa tunaondoka na Medali nyingi mno za Dhahabu kwa ' tumetukuka ' kwa Unafiki.
Mwanamume nimeshatema ' nyongo ' tayari.
Nawasilisha.