Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Kristu.....
Kuuliza sio ujinga, ikitokea umeachana na mpenzi wako kisha ukapata mchumba. Je kuna ulazima wa kumjulisha x wako kuwa umepata mchumba? Let say mnaishi mikoa tofauti ambapo sio rahisi kwa yeye kupata habari zako isipokuwa kupitia kwako?
Ukishamjulisha na mipango ikaendelea vyema, can you invite him/her to your wedding ceremony? Vipi kuhusu card ya mchango, unaweza kumpa? Wewe x unaweza kutoa mchango au kuhudhuria harusi/ sendoff ya x wako?
Kuuliza sio ujinga, ikitokea umeachana na mpenzi wako kisha ukapata mchumba. Je kuna ulazima wa kumjulisha x wako kuwa umepata mchumba? Let say mnaishi mikoa tofauti ambapo sio rahisi kwa yeye kupata habari zako isipokuwa kupitia kwako?
Ukishamjulisha na mipango ikaendelea vyema, can you invite him/her to your wedding ceremony? Vipi kuhusu card ya mchango, unaweza kumpa? Wewe x unaweza kutoa mchango au kuhudhuria harusi/ sendoff ya x wako?