Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Hayo mazao ndio walikuambiwa walime , je unajua kwamba walifika pwani kwanza wakapata resistance kwamba watu walikuwa washajitambua?

Je unajua walitumia njia ya elimu kushawishi watu wajiunge na dini kama sio mkristo hupati elimu!?..Kitu unaongea hakina maana IQ inapigwa kwa mtu hata kuingia darsan...Tabia kubwa ya IQ kubwa inabebwa na kipaji maalumu katika elimu tunaita Genius.

Sasa njoo kweny talent nchi hii kila kona wameshika dini gani?
Talent na IQ sio vitu sawa na havina uhusiano.

Kuelewa vizuri IQ soma kuhusu abstract thought, reasoning, creative power utaona utofauti wake na special aptitudes au natural skill (talent)

Sio kila anaecheza mpira vizuri ana talent (wengine wana high learning ability-IQ wamejifunza na wengine wana medium learning ability-IQ tu)

Kuna footballers wana low IQ, abstract thought, reasoning inayotakiwa shule walikuwa hawana wakashindwa shule lakini wanacheza mpira vizuri sana (special aptitude-Talent)
 
Kuna Imani Fulani wanasema kuwa wao wapo mwaka 1400 na sio 2024
kwani Kuna Shida Gani Hapo,ni Mwaka Wa 1400s Tangu Mtume Atoke Maka Aende Madina Sio Miaka 1400 Tangu Dunia Ianze,hyo 2024 Ni Tangu Kuzaliwa Yesu Pia Sio Tangu Dunia Ianze Hakuna Shida Hapo Au Kipi Kinachoipa Usahihi 2024 Kuwa Ni Mwaka Bora Wa Kufuata.Hizo Ni Aina Za Calendar Gregoria,islamic Na Zipo Nyingi.Katika Mambo Ya Dunia Tunatumia Calendar Iliyozoeleka Duniani Katika Mambo Ya Dini Tunafuata Calendar Ya Dini.Kufunga,kuhiji N.K Calendar Ya Dini.Shuleni,makazini Calendar Ya Dunia
 
Nani wawekezaji wakubwa nchini China?

How many Western companies are in China?

By the end of August 2023, a total of 1,150,000 foreign companies were registered in Mainland China, according to the Official data provided by the Ministry of Commerce (MOFCOM).2 Nov 2021

Makampuni hayo ndiyo kwa kiasi kikubwa yaliyobadilisha uchumi wa China.

Kabla yake, ile China ya kujifungia ilikuwa taabani kichumi.
Wee jamaa unajua hata unacho ongea au unaropoka tu.
 
naam sasa mmeanza kuelewa kwamba falsafa ya dini ndiyo inayoleta maendeleo na utu wa binadamu, mfumo unaotawala Dunia leo hii ni western christianity hivyo yoyote ambaye hafwati christianity ( western) way of life hawezi kuendelea.

na ndio maana nchi zinafwata uislamu afrika ni shida tupu kuanzia somalia, chad, maurtania na kwingineko pakistani, irani au hata yemeni.

hata tanzagiza, jiulize kwa nini awamu ya 4 na sada hivi wanazima umeme? tumeishi for 5 years bila ya shida ya umeme, tanesco ile ile inayozima umeme leo hii ndiyo iliyowasha umeme bila ya shida 2015/20, swali ni kwamba kwa nini?

tusiogope maswali magumu tujiulize ili tuweze kusonga mbele labda tutapata suluhisho lkn ukweli ni kwamba uislamu at least wa tanzagiza haufundishi partriotism na hard work ushahidi upo kila mahali hapa tanzagiza kuanzia perfomance za watoto shuleni mpaka maofisini, angalia akina kunde walivyoifanya tanesco yetu walikuuta vizuri leo kila kitu destroyed …
Inafikirisha sana
 
Kuna mwanasaikoloji mmoja anasema ukianza kunyweshwa ile damu ya Yesu ukalishwa mkate kuna hatari ya kulishwa vyengine na huyo anayekulisha mwisho mikono inaanza kuanguka
Kwanza binadamu mwenye akili timamu unaweza vipi ambiwa kuwa Mungu ni yule mzungu alietundikwa msalabani na wewe ukasadiki??

How comes MTU eti ni professor anaenda kupiga magoti anaomba lile lisesere la kizungu limsadiie??

Stupid kbs
 
Talent na IQ sio vitu sawa na havina uhusiano.

Kuelewa vizuri IQ soma kuhusu abstract thought, reasoning, creative power utaona utofauti wake na special aptitudes au natural skill (talent)

Sio kila anaecheza mpira vizuri ana talent (wengine wana high learning ability-IQ wamejifunza na wengine wana medium learning ability-IQ tu)

Kuna footballers wana low IQ, abstract thought, reasoning inayotakiwa shule walikuwa hawana wakashindwa shule lakini wanacheza mpira vizuri sana (special aptitude-Talent)
Elimu ya mzungu imekuchanganya , akili zinatumika katika kila kona ndio maana kuna msaniii anajua sana ..wewe binafsi unatambua ukimuweka Fiq Q na Sugu nan mkali hapo?

Hiyo ni IQ ni kama kipimo kila kona sio kila kitu ni reasoning hata utendaji mkubwa ni kuwa na IQ
..Narudia soma sana IQ ni kipimo cha uwezo fulani sio reasoning dunia nzima watu hawafanyi kazi ya reasoning bali wengine ni utendaji hakuna Genius mweny IQ ndogo basi Messi ni genius kweny mpira hata shule sijui kama ana uwezo wa masomo.
 
Mada za namna hii ndizo zitakazo waweka CCM madarakani miaka nenda rudi maana Waislamu na Wakristo hawawezi kuaminiana kamwe ili wakiondoe madarakani Chama chetu 😅😅😅🙏🙏🙏

Bila kuwepo na umoja miongoni mwao tutaendelea kuwepo sana tu 😅🙏👍
Hao jamaa wana akili sana😅😅😅wanapiga pesa hawana time na udini ...Ukiwa na pesa kama Mo huna mda wa kubishana dini ,unaquote kutoka vitabu vyote vya dini uwakamate wateja wa dini zote.
 
wanafwata western christian economic system, wajapani waliendelea kwa sababu walikwenda kujifunza Europe na USA how to run a country btw. Japan ni part of the western world kuna sababu kwa nini iko hivyo, china mpaka leo hii anafanya copy & paste ya western christian economic system …
Hawa wanaotumia nguvu kulazimisha ushago kumbe ndio ukristo!
😅😅😅

Hawa wazee wa haki sana kumbe ni wakristo!? Mbona kule biblia inasema mwanamke haruhusiwi hata kuuliza swali kanisani...
 
Niseme tu ukweli waislam wako hoi bin taabani kwa kila nyanja. Hao wafanyabiasha japo ni waislam wengi wao hawana asili ya tanzania biashara zao ni za kurithi kizazi hadi kizazi. Kinachowaathiri waislam ni mafundisho mapotofu ya dini yao. Hata wazee wa kiislam na wa dini zingine ni tofauti kimuonekano. Wazee wa kiislam wengi hawako smart kimwili na kiakili katika kufikiri mambo na kuyatolea utatuzi. Uislam haumpi mtu uhuru wa kujitanua kifikra. Wakristo wako huru kwelikweli hawadanganyiki na mafundisho potofu ulimwenguni, wanahoji uhalali wa mambo bila hofu. Mafundisho yao yanawaangazia kufumbua na kupambanua mafundisho ya kweli na yasiyo ya kweli. Huwezi kuwarundika wakristo na kuanza kuwahubiria mafundisho yaleyale miaka nenda rudi watakuona ni muongo.
 
Niseme tu ukweli waislam wako hoi bin taabani kwa kila nyanja. Hao wafanyabiasha japo ni waisla wengi wao hawana asili ya tanzania biashara zao ni za kurithi kizazi hadi kizazi. Kinachowaathiri waislam ni mafundisho mapotofu ya dini yao. Hata wazee wa kiislam na wa dini zingine ni tofauti kimuonekano. Wazee wa kiislam wengi hawako smart kimwili na kiakili katika kufikiri mambo na kuyatolea utatuzi. Uislam haumpi mtu uhuru wa kujitanua kifikra. Wakristo wako huru kwelikweli hawadanganyiki na mafundisho potofu ulimwenguni, wanahoji uhalali wa mambo bila hofu. Mafundisho yao yanawaangazia kufumbua na kupambanua mafundisho ya kweli na yasiyo ya kweli. Huwezi kuwarundika wakristo na kuanza kuwahubiria mafundisho yaleyale miaka nenda rudi watakuona ni muongo.
Ungekuwa unahoju usingekuwa mkristo? Wakristo 90% ni wajinga kwa vile wanaabudu sana walilichonga😅😅.

Wanaamini kutubu dhambi kwa binadamu mwenzao...Wanachangishwa pesa za miradi ila kupata huduma wanatoa pesa.


Wameweka picha ya maria amevaa hijab ila wao wanavaa min skirt😅 wakristo wandanganywa wasioe ila wanabariki watoto wachanga..

Wazee wa kiislamu ndio wamepigania uhuru wakristo ukienda vijijini kwao hata life expectancy ni ndogo...

Waislamu pekee ndio wanaweza kuandamana kwa nguvu zao kama dini...

Waislamu wna uwezo wa kujitambu hata wasipoenda darasani... Waislamu pekee ndio walifanya resistance na mkoloni nyie mlikuwa mnakalia kunywa gongo.
 
Wanabodi,

Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!.

Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional mathematics, nilikuwa mzuri wa algebra, ila nilipoamua kufanya HGL A-Level, somo la hesabu nilipata C, sambamba na Chemistry, Physics, na Biology, zote nilipiga C!, lakini naomba kukiri, japo mimi sio mzuri kivile kwenye takwimu, lakini mtu akileta mada na kuivisha data za kimaghumashi, nina uwezo wa kubaini!.

Huko nyuma, tuliwahi kupishana na Mkuu Maalim Mohamed Said kwenye takwimu zake za idadi ya Wabunge Wakristo na Waislamu, yeye alisema mimi nikasema ni urongo!. Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.

Ubishi huo ulianzia huku Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Baada ya kumpinga with data estimates, ile video ya urongo, iliondolewe kule YouTube!.

Sasa angalia takwimu hizi za matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mujibu wa Mkuu Maalim Mohamed Said
Kwenye takwimu hizi nauliza jee ni kweli Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71% ni Waislamu na dini nyingine zote ni asilimia 29%?. Hizi data za asilimia za idadi ya watu wa dini fulani, zinapatikaje?, naomba mtu asiibuke na kuniambia wametumia majina!.

Katika hiyo asilimia 71 % ya Waislamu waliofanya mtihani huo wa darasa la 7, waliofaulu kwenda sekondari ni asilimia 21% tuu, hii maana yake kati ya Waislamu waliofanya mtihani wa darasa la 7, waliopasi kwenda sekondari ni asilimia 21% ya wale asilimia 71% Waislamu, na kati ya wale Wakristu asilimia 29% waliopasi kuingia sekondari ni asilimia 79%. Hii ni kweli?!.

Kama hizi data za Maalim Mohamed Said ni data za kweli, then kuna shida mahali!, kuna tatizo!, linalohitaji critical analysis kulibaini na kulitatua!.

Niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.

Pia nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Nikauliza tena Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Na nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?

Nashauri tufanye utafiti wa Idadi ya Waislamu na Wakristu kwenye maeneo yafuatayo

1. Kiwango cha umasikini kati ya Wakristo na Waislamu
2. Idadi ya wafanyabiashara
3. Idadi ya matajiri
4. Ufaulu wa darasa la saba
5. Ufaulu wa kidato cha 4
6. Udahili elimu ya juu
7. Asilimia kwenye astashahada
8. Stashahada
9. Shahada
10. Shahada za uzamili
11. Shahada za uzamivu
12. Idadi wafungwa, mahabusu na uhalifu.
13. Idadi ya jobless
14. Idadi ya wale dada zetu wanaofanya ile biashara ya usiku ya kuuza naniliu
15. Idadi ya wife materials na husbands material
16. Idadi ya kuoa na kuolewa
17. Utulivu kwenye ndoa
18. Broken homes
19. Single mothers
20. Wanaume wanaotekeza watoto.

Matokeo ya tafiti hizi, japo yata surprise wengi, lakini hizo data zitatusaidia kubaini kuwa tuna tatizo, hivyo tuanze kuchukua hatua kulitatua, vinginevyo, wachochezi wa udini, watakuwa wanaendelea kutulisha matango pori kuwa kuna dini wanapendelewa na kuna dini wanabaguliwa, kumbe the actual fact ni kuna wenzetu wanashida, wana matatizo, wanahitaji msaada na tuwasaidie, tusaidiane!.

Paskali
Aisee!
 
Wanabodi,

Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!.

Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional mathematics, nilikuwa mzuri wa algebra, ila nilipoamua kufanya HGL A-Level, somo la hesabu nilipata C, sambamba na Chemistry, Physics, na Biology, zote nilipiga C!, lakini naomba kukiri, japo mimi sio mzuri kivile kwenye takwimu, lakini mtu akileta mada na kuivisha data za kimaghumashi, nina uwezo wa kubaini!.

Huko nyuma, tuliwahi kupishana na Mkuu Maalim Mohamed Said kwenye takwimu zake za idadi ya Wabunge Wakristo na Waislamu, yeye alisema mimi nikasema ni urongo!. Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.

Ubishi huo ulianzia huku Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Baada ya kumpinga with data estimates, ile video ya urongo, iliondolewe kule YouTube!.

Sasa angalia takwimu hizi za matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mujibu wa Mkuu Maalim Mohamed Said
Kwenye takwimu hizi nauliza jee ni kweli Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71% ni Waislamu na dini nyingine zote ni asilimia 29%?. Hizi data za asilimia za idadi ya watu wa dini fulani, zinapatikaje?, naomba mtu asiibuke na kuniambia wametumia majina!.

Katika hiyo asilimia 71 % ya Waislamu waliofanya mtihani huo wa darasa la 7, waliofaulu kwenda sekondari ni asilimia 21% tuu, hii maana yake kati ya Waislamu waliofanya mtihani wa darasa la 7, waliopasi kwenda sekondari ni asilimia 21% ya wale asilimia 71% Waislamu, na kati ya wale Wakristu asilimia 29% waliopasi kuingia sekondari ni asilimia 79%. Hii ni kweli?!.

Kama hizi data za Maalim Mohamed Said ni data za kweli, then kuna shida mahali!, kuna tatizo!, linalohitaji critical analysis kulibaini na kulitatua!.

Niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.

Pia nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Nikauliza tena Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Na nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?

Nashauri tufanye utafiti wa Idadi ya Waislamu na Wakristu kwenye maeneo yafuatayo

1. Kiwango cha umasikini kati ya Wakristo na Waislamu
2. Idadi ya wafanyabiashara
3. Idadi ya matajiri
4. Ufaulu wa darasa la saba
5. Ufaulu wa kidato cha 4
6. Udahili elimu ya juu
7. Asilimia kwenye astashahada
8. Stashahada
9. Shahada
10. Shahada za uzamili
11. Shahada za uzamivu
12. Idadi wafungwa, mahabusu na uhalifu.
13. Idadi ya jobless
14. Idadi ya wale dada zetu wanaofanya ile biashara ya usiku ya kuuza naniliu
15. Idadi ya wife materials na husbands material
16. Idadi ya kuoa na kuolewa
17. Utulivu kwenye ndoa
18. Broken homes
19. Single mothers
20. Wanaume wanaotekeza watoto.

Matokeo ya tafiti hizi, japo yata surprise wengi, lakini hizo data zitatusaidia kubaini kuwa tuna tatizo, hivyo tuanze kuchukua hatua kulitatua, vinginevyo, wachochezi wa udini, watakuwa wanaendelea kutulisha matango pori kuwa kuna dini wanapendelewa na kuna dini wanabaguliwa, kumbe the actual fact ni kuna wenzetu wanashida, wana matatizo, wanahitaji msaada na tuwasaidie, tusaidiane!.

Paskali
IQ inapimwa kwa kuangalia nini ? Kama ni kwa kuangalia masomo au ufaulu, basi hakika IQ ni jambo la kipuuzi kuwahi kuwepo hapa duniani.
 
Wanabodi,

Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!.

Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional mathematics, nilikuwa mzuri wa algebra, ila nilipoamua kufanya HGL A-Level, somo la hesabu nilipata C, sambamba na Chemistry, Physics, na Biology, zote nilipiga C!, lakini naomba kukiri, japo mimi sio mzuri kivile kwenye takwimu, lakini mtu akileta mada na kuivisha data za kimaghumashi, nina uwezo wa kubaini!.

Huko nyuma, tuliwahi kupishana na Mkuu Maalim Mohamed Said kwenye takwimu zake za idadi ya Wabunge Wakristo na Waislamu, yeye alisema mimi nikasema ni urongo!. Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.

Ubishi huo ulianzia huku Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Baada ya kumpinga with data estimates, ile video ya urongo, iliondolewe kule YouTube!.

Sasa angalia takwimu hizi za matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mujibu wa Mkuu Maalim Mohamed Said
Kwenye takwimu hizi nauliza jee ni kweli Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71% ni Waislamu na dini nyingine zote ni asilimia 29%?. Hizi data za asilimia za idadi ya watu wa dini fulani, zinapatikaje?, naomba mtu asiibuke na kuniambia wametumia majina!.

Katika hiyo asilimia 71 % ya Waislamu waliofanya mtihani huo wa darasa la 7, waliofaulu kwenda sekondari ni asilimia 21% tuu, hii maana yake kati ya Waislamu waliofanya mtihani wa darasa la 7, waliopasi kwenda sekondari ni asilimia 21% ya wale asilimia 71% Waislamu, na kati ya wale Wakristu asilimia 29% waliopasi kuingia sekondari ni asilimia 79%. Hii ni kweli?!.

Kama hizi data za Maalim Mohamed Said ni data za kweli, then kuna shida mahali!, kuna tatizo!, linalohitaji critical analysis kulibaini na kulitatua!.

Niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.

Pia nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Nikauliza tena Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Na nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?

Nashauri tufanye utafiti wa Idadi ya Waislamu na Wakristu kwenye maeneo yafuatayo

1. Kiwango cha umasikini kati ya Wakristo na Waislamu
2. Idadi ya wafanyabiashara
3. Idadi ya matajiri
4. Ufaulu wa darasa la saba
5. Ufaulu wa kidato cha 4
6. Udahili elimu ya juu
7. Asilimia kwenye astashahada
8. Stashahada
9. Shahada
10. Shahada za uzamili
11. Shahada za uzamivu
12. Idadi wafungwa, mahabusu na uhalifu.
13. Idadi ya jobless
14. Idadi ya wale dada zetu wanaofanya ile biashara ya usiku ya kuuza naniliu
15. Idadi ya wife materials na husbands material
16. Idadi ya kuoa na kuolewa
17. Utulivu kwenye ndoa
18. Broken homes
19. Single mothers
20. Wanaume wanaotekeza watoto.

Matokeo ya tafiti hizi, japo yata surprise wengi, lakini hizo data zitatusaidia kubaini kuwa tuna tatizo, hivyo tuanze kuchukua hatua kulitatua, vinginevyo, wachochezi wa udini, watakuwa wanaendelea kutulisha matango pori kuwa kuna dini wanapendelewa na kuna dini wanabaguliwa, kumbe the actual fact ni kuna wenzetu wanashida, wana matatizo, wanahitaji msaada na tuwasaidie, tusaidiane!.

Paskali
Pascal, kwanza huyo Mohamed Said ni mwongo. Sijui hizo takwimu ameziokota wapi.

Ebu tusaidie, hizo takwimu alikuwa anaongelea kitaifa au ni eneo fulani dogo?

Kama ni kitaifa, huyo Mohamed Said ni mwongo mkubwa. Mgawanyo wa population kwa mgawanyo wa dini kwa Tanzania kwa projections zinazotokana na sensa za huko nyuma ambapo dini ilikuwa ni sehemu ya taarifa ya sensa:

Wakristo 63%
Waislam 34%
Dini za asili na nyinginezo ni 3%

Sasa kama mtawanyiko kidini upo hivyo, itawezekana vipi hao walio zaidi ya 60% wawe na watoto 29% kwenye shule. Na wale 34% wawe na watoto 71% shuleni?
 
Ungekuwa unahoju usingekuwa mkristo? Wakristo 90% ni wajinga kwa vile wanaabudu sana walilichonga😅😅.

Wanaamini kutubu dhambi kwa binadamu mwenzao...Wanachangishwa pesa za miradi ila kupata huduma wanatoa pesa.


Wameweka picha ya maria amevaa hijab ila wao wanavaa min skirt😅 wakristo wandanganywa wasioe ila wanabariki watoto wachanga..

Wazee wa kiislamu ndio wamepigania uhuru wakristo ukienda vijijini kwao hata life expectancy ni ndogo...

Waislamu pekee ndio wanaweza kuandamana kwa nguvu zao kama dini...

Waislamu wna uwezo wa kujitambu hata wasipoenda darasani... Waislamu pekee ndio walifanya resistance na mkoloni nyie mlikuwa mnakalia kunywa gongo.

Mkuu makafiri ndiyo wanalilostisha sana Taifa hili believe me..

Nchi hii waislam wako mbele toka zama na zama,na hata kwenye harakati za mapambano ya uhuru umesema kweli kbs,hao Kina ALISONGEA MBANO,Mtwa mkwawa, Abushir bin Salim,na wengine wengi ni waislam, mwambie akutajie zee la kikafir hata Moja ambalo limeshiriki katika harakati wao wanamjua Nyerere tuh,teh teh teh
 
Back
Top Bottom