Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Hapo ndipo mataifa ya kiafrika yanapokosa simuluzi zinazounganisha taifa.

Yaani umoja haupo kila kakikundi kiwe cha kiimani, kikabila na kikanda wana simulizi zao za umoja katika uchache wao.

Lini nchi itakuwa na simulizi ya kitaifa kama USA, RUSSIA, CHINA, JAPAN n.k kadhalika.

Moja ya stori ya umoja ingeletwa na makabrasha yanayoelezea Tanzania yenye makabila mengi, Himani tofauti pia jamii zikiwemo za kisomali, kihindi, kijerumani, kigiriki ziliungana chini ya jemedari mkuu mwalimu Nyerere kwenda kumpiga, kumfukuza na kumtupa mvamizi nduli nyoka Iddi Amin Dada nje ya mipaka yetu .....

Tatizo stori hizi za ushujaa wa jamii yetu tunazifanya ni siri kubwa na maveterani kama jenerali David Musuguri, makamanda na maofisa, wapiganaji na mgambo wapo lakini hatuoni kuwa vita ya Kagera ni moja ya simulizi ya umoja wetu katika mchanganyiko wetu kama taifa.

Nchi kama USA ama Russia simulizi hizi za umoja kupitia kumshinda adui mvamizi hutumika ktk mitaala ya shule, tamthilia, movie, mahojiano katika media House n.k kuonesha jambo lililofanyika kwa umoja mfano vita dhidi ya mvamizi Hitler, Napoleon n.k


A national narrative rationalizes and is supported by the nation's identity
Hakuna kitu kinaniudhi kama hii ya kukosa kitu kinachotuunganisha kama taifa.
 
Upon a time, Egyptology dominated the universe, Jesus came to replace it with Christology that reigns todate.
Ukristo haudominate dunia kwa sababu hakuna sheria imetoka kweny biblia inayotumika na hakuna dunia inaweza kutumia biblia kutunga sheria ....Dunia inaendeshwa na mifumo nje ya dini ka unabisha hizo nchi kubwa zinafanya mambo ya hovyo hata sio mafundisho ya biblia kufanya mashambulizi katika nchi ndogo ili wazidi kutanua wigo wao...

Yesu mwenyewe alikuta utawala wa Roma ukisoma maandiko ,palishakuwepo na Greek wote walipotea..
 
Kuna mwanasaikolojia mmoja aliwahi kusema kuwa Mtoto akianza kusoma yale maandishi yanayoanzia kulia kwenda kushoto anapungukiwa na Akili ingawa sina uhakika Sana
lugha Aliyoongea Yesu Ilianzia Kulia Kuelekea Kushoto,kuvuka Barabara Pia Tunaanza Kwa Kuangalia Kulia,mambo Mema Yote Ni Ya Upande Wa Kulia.Pia Hakuna Uhusiano Wowote Kati Ya Lugha Kuanzia Kulia Au Kushoto Na Akili Otherwise Huyo Mwanasaikolojia Anavuta Bangi
 
Tatizo stori hizi za ushujaa wa jamii yetu tunazifanya ni siri kubwa na maveterani kama jenerali David Musuguri, makamanda na maofisa, wapiganaji na mgambo wapo lakini hatuoni kuwa vita ya Kagera ni moja ya simulizi ya umoja wetu katika mchanganyiko wetu kama taifa.

Nchi kama USA ama Russia simulizi...

Vasily Zaytsev’s life before war

The Second World War was an era of heroes. Soviet people showed massive heroism in the struggle for their freedom, their country and every piece of their land, but among them were people who performed unbelievable feats. The whole world knew about their feats. The heroes were becoming legends. One of them was a sniper Vasily Zaytsev.
1706457126757.png

V. G. Zaitsev with his sniper rifle

Vasily Grygoryevich Zaytsev was born in a simple peasant family on March 23rd in 1915. From very childhood he learned hunting, and at the age of 12 he got his first rifle as a gift. Hunting advice from his grandfather was very useful for a future hero. Vasily said that a sniper had to be invisible. The ability to mask was always number one for him. Time didn’t exist for him, when he was waiting for another target. And of course, his extraordinary cold blood and self- control. This all made him a first- class hunter. Besides, Vasily was gifted physically as well: eagle- eye, good ear and endurance didn’t leave a single chance for the enemy caught in his sniper sight.

Vasily Zaytsev - at the barricades of the Stalingrad battle

World War II caught a future hero in the position of a chief of finance in the Pacific Fleet, where he had been serving since 1937. Zaytsev had a good position and the command appreciated him a lot. However by the summer of 1942 Vasily applied 5 times with a request to forward him to the front. His request was satisfied, and Zaytsev was sent to the 284th rifle division. On the September night of 1942 together with other recruits was sent across the Volga to defend Stalingrad. He got to the city where he pronounced the words which got into a mess: “For us, soldiers and commanders of the 62nd Army, there’s no land beyond the Volga. We stood and will stand to death!”
 
Muslim ndani nchi hii in particular wamekuwa wahanga wa mfumo KRISTO Kwa muda mrefu sana,baada ya bwana wao mkoloni kuondoka aliacha athari za ubaguzi wa kidini kiasi kwamba shule nyingi ambazo zilikua chini wa wakoloni ziliendelea kuwa chini ya vibaraka wao wagalatia na kuwapa waislam vikwazo vya elimu kwamba Ili wao wasome basi iliwapasa either wabadili dini,au wafuate utaratibu wa wagalatia ikiwamo kula nyama najisi ya nguruwe na kuabudu sanamu la Jesus Christ,waislam walio wengi waliopt kuachana na elimu ya manyanyaso kama hiyo na kujikita na elimu ya kumtambua mola wao na kuchukua fursa zingine za biashara na kilimo,baada ya uhuru na shule hizo kutaifishwa idadi ya waislam ilianza kuongezeka pole pole hadi kufikia hatua ya kuanza kushawishi jamii zaidi ya waislam waliogoma kupeleka watoto shule wazidi kupeleka watoto shule
 
Mohamed ni wa kupuuzwa. Data zake nyingi ni za kupika na wala hazina uhalisia wowote.

Mfano kwenye data yake kuwa asilimia ya waliofanya mtihani na kufaulu, asilimia 71 ni Waislamu. Na asilimia 29 ni Wakristo na wasio na dini.

Kisha akaendelea, katika wanaochaguliwa kwenda Sekondari asilimia 71 ni Wakristo na 29 ndiyo Waislamu.

Sasa twende kimahesabu;
Tuchukue mfano kwamba, waliofanya mtihani na kufaulu ni wanafunzi 1,000,000. K

Kwa muktadha wa data za Mohammed, basi wanafunzi 710,000 ni Waislamu na wanafunzi 290,000 ni dini nyingine.

Nchi yetu kwa wanafunzi wanaofaulu, asilimia zaidi ya 80 hupangiwa shule. Haijawahi kutokea wanafunzi waliofaulu wakashindwa kupangwa chini ya 70%. Na hakuna rekodi za wanafunzi waliofeli kupangiwa shule. Kwa mfano wetu ni kuwa, walau (80%) ambayo ni wanafunzi 800,000 hupangiwa shule.

Sasa hoja ya Mohammed inakosa mantiki kwenye data. Asilimia 71% ya wanafunzi 800,000 ni wanafunzi 568,000 ambayo anadai ndiyo wa imani zingine tofauti na uislamu wanaopangwa.

Wanafunzi waliofaulu ni 290,000, iweje wanaopangiwa shule wawe 568,000? Wengine wanashushwa kutoka Mbinguni?

Mohammed anafikiri kwa hisia za kuonewa. Hisia za hasira na maumivu. Anatamani imani yake iwe ya juu katika kila kitu. Ndiyo maana ukisoma maandiko yake, anatumia muda mwingi kuunadi Uislamu zaidi kuliko kutoa uhalisia wa mambo.
 
lugha Aliyoongea Yesu Ilianzia Kulia Kuelekea Kushoto,kuvuka Barabara Pia Tunaanza Kwa Kuangalia Kulia,mambo Mema Yote Ni Ya Upande Wa Kulia.Pia Hakuna Uhusiano Wowote Kati Ya Lugha Kuanzia Kulia Au Kushoto Na Akili Otherwise Huyo Mwanasaikolojia Anavuta Bangi
Mkuu hizo alizoongea jamaa ni akili fyatu za wagalatia wa Bongo hapa tuh, wagalatia wenye uelewa mkubwa hawawez beza lugha,lugha yyte ni mfumo wa jamii husika,kitu ambacho huyo kafiri hafaham ni kwamba hata jamaa zake ambao ni wagalatia Huko uarabuni injili Yao imeandikwa kuanzia kulia kwenda kushoto hivyo hivyo,sema Kwa kuwa wengi wako brainwashed hawawez kuelewa uhalisia wa Mambo.
 
Hakuna kitu kinaniudhi kama hii ya kukosa kitu kinachotuunganisha kama taifa.
Nchi hii hatuwezi kuwa na kitu kitachotuunganisha kama Taifa kamwe.

Na hiyo ni kutokana na hawa ndugu zetu wa damu kuwa watu wabinafsi na wenye chuki za wazi wazi na ubaguzi dhidi ya waislam kana kwamba wao ni maadui Zao ambao wamekula Yamini ya kupambana nao.

Hakuna wanachokiona Cha msingi kwao kama kujinufaisha na kila wanachokiona kimepita mbele Yao,Kwa Hali kama hiyo kuungana ni ngumu sana
 
Tatizo stori hizi za ushujaa wa jamii yetu tunazifanya ni siri kubwa na maveterani kama jenerali David Musuguri, makamanda na maofisa, wapiganaji na mgambo wapo lakini hatuoni kuwa vita ya Kagera ni moja ya simulizi ya umoja wetu katika mchanganyiko wetu kama taifa.

Stori zinazovutia umoja wa kitaifa kupitia Lieutenant Vasily akihojiawa akiwa hai katika ngozi na nyama akisimulia vita 1945.

Sisi tunaona haya, hatutaki mambo yetu yanayo tuunganisha yawe wazi katika simulizi za utaifa wetu mfano Jenerali David Musuguri na wenziwe wote katika jeshi la ulinzi waliopigana vita ya Kagera.


View: https://m.youtube.com/watch?v=692xwcADYdw

Zaitsev almost made it to Berlin but was wounded at Seelow Heights in 1945,he quickly recovered and finished the war on the Dniestr. Stalin was interested in Zaitsev and ordered him to write a report,Stalin had this report published in section 1 of the Red Army field manual.Zaitsev made a quoate- In Stalingrad the German officer corps was beheaded".Bio"-Captain Vassili Grigorevich Zaitsev (Russian: Василий Григорьевич Зайцев) (March 23, 1915December 15, 1991) was a Soviet sniper during World War II, notable particularly for his activities between October 1942 and and January 1943 during the Battle of Stalingrad. He killed 242 soldiers and officers of the Wehrmacht and other Axis armies, including 11 enemy snipers, but the real number may be much higher,some argue it might have been as many as 500. Prior to November 10, he had already killed 40 Axis soldiers with the standard-issue Mosin-Nagant rifle. His military rank at the time was Junior Lieutenant.Zaitsev was born in Yeleninskoye and grew up in the Ural Mountains. His surname Zaitsev has the same root as the word "hare" (zayats) in Russian. Before going to Stalingrad, he served in the Russian Navy as a clerk but upon reading about the brutality of the fighting in Stalingrad, he volunteered for front-line duty. Zaitsev served in the 1047th Rifle Regiment of the 284th Rifle Division of the 62nd Army. He is notable for having participated in the Battle of Stalingrad. There, Zaitsev set up a snipers' training school in the Metiz factory; it was run by Zaytsev. The snipers Zaytsev trained were nicknamed zaichata, meaning "leverets" (baby hares). Antony Beevor wrote in Stalingrad that this was the start of the "sniper movement" in the 62nd Army. Conferences were arranged to spread the doctrine of "sniperism" and exchange ideas on technique and principles that were not limited to marksmanship skills. It is estimated that the snipers Zaytsev trained killed more than 3,000 enemy soldiers.Zaitsev took part in the battle for Stalingrad until January 1943, when he suffered an injury to his eyes from a mortar attack. He was attended to by Professor Filatov, who is credited with restoring his sight. On February 22, 1943 Zaitsev was awarded the title Hero of the Soviet Union. He then returned to the front and finished the war on the Dniestr River with the military rank of Captain. After the end of the war, Zaitsev visited Berlin, where he met friends who served with him. After the war, Zaitsev managed a factory in Kiev, and remained in that city until he died at the age of 76 after suffering from a disease.Russian sniper Soviet union battle of stalingrad mosin nagant pu rifle war gun montage vassili zaitsev enemy at the gates part jude law ed harris rachel weisz propaganda nkvd troops waffen ss Joseph stalin adolf hitler communism vs facsism berlin reichstag kremlin kgb spetsnaz victory tokarev svt40 ppsh mp40 t34 panzer tank k98 mauser kursk tula izhevsk factory ww2 photos siberian ural mountains operation Barbarossa 1941 moscowThe telescopic sight from (Konig's) rifle, Zaytsev's most treasured trophy, is still exhibited in the Moscow armed forces museum today
 
Sijaona kama kuna haja ya kujadili kuhusua dini...kwa vile taifa ni moja ,mambo ambayo hayana mpango.

Mwisho wa siku kila mtu anatafuta ugali wake ,takwimu hazina maana kwa asilimia zote ...Shule niliyomaliza enzi zetu alifaulu mkristo mmoja tu basi tena amebadili dini miaka kadhaa aliolewa na muislamu namkumbuka mpaka leo ...Pia ule mkoa ulikuwa na waislamu wengi ila haina haja ya kupata takwimu kwa wote...
Mada za namna hii ndizo zitakazo waweka CCM madarakani miaka nenda rudi maana Waislamu na Wakristo hawawezi kuaminiana kamwe ili wakiondoe madarakani Chama chetu 😅😅😅🙏🙏🙏

Bila kuwepo na umoja miongoni mwao tutaendelea kuwepo sana tu 😅🙏👍
 
Hicho ni kipimo kikubwa kabisa Cha watu wenye akili za KRISTO, wagalatia wamekuwa brainwashed to the extent kuwa anadhani lugha ya kiarabu ni lugha ya kiislam,kumbe Arabic language ni amongst top five of best language duniani, besides hata wagalatia wenzako ambao ni waarabu injili Yao ya kiarabu imeandikwa hivyo hivyo kushoto kwenda kulia,Sasa tunashangaa ni kwamba hivi mmekosa akili kabisa au exposure??na ndiyo maana kutwa kujiita wasomi ndani ya nchi hii Cha maana mnachojua ni wizi na ufisadi tuh
Ficha upumbavu wako. Hakuna sehemu nimeandika Kiarabu ni Kiislamu. The fact kuwa huyu anayeandika kutoka kulia kwenda kushoto ana_struggle ku_adopt kuandika kutoka kushoto kwenda kulia, wenzake wanakuwa wanaendelea kupiga hatua mbele yake. Arabic ni the best !? Au most spoken!? Ufisadi!? Umetoka wapi!?
 
Kuna mwanasaikolojia mmoja aliwahi kusema kuwa Mtoto akianza kusoma yale maandishi yanayoanzia kulia kwenda kushoto anapungukiwa na Akili ingawa sina uhakika Sana
Kuna mwanasaikoloji mmoja anasema ukianza kunyweshwa ile damu ya Yesu ukalishwa mkate kuna hatari ya kulishwa vyengine na huyo anayekulisha mwisho mikono inaanza kuanguka
 
Nenda moja kwa moja ndugu. waislamu ongezeni mkazo kwenye elimu dunia .pia ninyi ndo mna hela kuliko dini zote hebu wekezeni kwenye elimu sio mipira
 
Western christian economic system

Taifa gani linajiendesha kiuchumi kama China katika ulimwengu wa kimagharibi ?
Nani wawekezaji wakubwa nchini China?

How many Western companies are in China?

By the end of August 2023, a total of 1,150,000 foreign companies were registered in Mainland China, according to the Official data provided by the Ministry of Commerce (MOFCOM).2 Nov 2021

Makampuni hayo ndiyo kwa kiasi kikubwa yaliyobadilisha uchumi wa China.

Kabla yake, ile China ya kujifungia ilikuwa taabani kichumi.
 
wanafwata western christian economic system, wajapani waliendelea kwa sababu walikwenda kujifunza Europe na USA how to run a country btw. Japan ni part of the western world kuna sababu kwa nini iko hivyo, china mpaka leo hii anafanya copy & paste ya western christian economic system …
Hiyo western economy inaongozwa na mashoga jee wewe unataka Uwe shoga yaani Uwe na pesa huku unazibuliwa mtaro??
 
Back
Top Bottom