Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 9,107
- 16,427
Wanazaliana kama panya wale jamaa wa Mudi Muzungu....Pascal, kwanza huyo Mohamed Said ni mwongo. Sijui hizo takwimu ameziokota wapi.
Ebu tusaidie, hizo takwimu alikuwa anaongelea kitaifa au ni eneo fulani dogo?
Kama ni kitaifa, huyo Mohamed Said ni mwongo mkubwa. Mgawanyo wa population kwa mgawanyo wa dini kwa Tanzania kwa projections zinazotokana na sensa za huko nyuma ambapo dini ilikuwa ni sehemu ya taarifa ya sensa:
Wakristo 63%
Waislam 34%
Dini za asili na nyinginezo ni 3%
Sasa kama mtawanyiko kidini upo hivyo, itawezekana vipi hao walio zaidi ya 60% wawe na watoto 29% kwenye shule. Na wale 34% wawe na watoto 71% shuleni?