Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

naam sasa mmeanza kuelewa kwamba falsafa ya dini ndiyo inayoleta maendeleo na utu wa binadamu, mfumo unaotawala Dunia leo hii ni western christianity hivyo yoyote ambaye hafwati christianity ( western) way of life hawezi kuendelea.

na ndio maana nchi zinafwata uislamu afrika ni shida tupu kuanzia somalia, chad, maurtania na kwingineko pakistani, irani au hata yemeni.

hata tanzagiza, jiulize kwa nini awamu ya 4 na sada hivi wanazima umeme? tumeishi for 5 years bila ya shida ya umeme, tanesco ile ile inayozima umeme leo hii ndiyo iliyowasha umeme bila ya shida 2015/20, swali ni kwamba kwa nini?

tusiogope maswali magumu tujiulize ili tuweze kusonga mbele labda tutapata suluhisho lkn ukweli ni kwamba uislamu at least wa tanzagiza haufundishi partriotism na hard work ushahidi upo kila mahali hapa tanzagiza kuanzia perfomance za watoto shuleni mpaka maofisini, angalia akina kunde walivyoifanya tanesco yetu walikuuta vizuri leo kila kitu destroyed …
Hayo mazao ndio walikuambiwa walime , je unajua kwamba walifika pwani kwanza wakapata resistance kwamba watu walikuwa washajitambua?

Je unajua walitumia njia ya elimu kushawishi watu wajiunge na dini kama sio mkristo hupati elimu!?..Kitu unaongea hakina maana IQ inapigwa kwa mtu hata kuingia darsan...Tabia kubwa ya IQ kubwa inabebwa na kipaji maalumu katika elimu tunaita Genius.

Sasa njoo kweny talent nchi hii kila kona wameshika dini gani?
 
Hayo mazao ndio walikuambiwa walime , je unajua kwamba walifika pwani kwanza wakapata resistance kwamba watu walikuwa washajitambua?

Je unajua walitumia njia ya elimu kushawishi watu wajiunge na dini kama sio mkristo hupati elimu!?..Kitu unaongea hakina maana IQ inapigwa kwa mtu hata kuingia darsan...Tabia kubwa ya IQ kubwa inabebwa na kipaji maalumu katika elimu tunaita Genius.

Sasa njoo kweny talent nchi hii kila kona wameshika dini gani?

kwa nini wanazima umeme?
 
Kwanza Paskali,unatakiwa kufaham,what kind of intellectual capability ambayo tunapaswa kuizungumzia hapa,kama kipimo Cha ufaulu ni kuangalia masomo haya ya primary,o level na advance basi tuanzie mwanzo wa hili saga from the root cause,I mean baada ya kuondoka mabwana zenu wakoloni hadi hivi Sasa,kwamba Hali ilikuaje,na HIV Sasa ipoe...
 
Wakoloni walishafanya utafiti wa IQ ya makabila yote nchi nzima ya Tanganyika kabla ya uhuru. Walikuwa wakitafuta watu wa kufanya nao kazi. Ninachofahamu, Morogoro ilipata the lowest score, na huko ndiko anatoka Chief Mangungo wa Msowero, mengine utajazia kulingana na mada, though najua huko, jamii ile ina waumini wa dini ile kwa wingi, na wana ukaribu mkubwa na mikoa ya Pwani na Dsm ambako dini ile pia imetamalaki.

Chuo kikuu cha kwanza kiko Dsm, lakini huwezi kukuta wasomi wengi wakubwa kutoka mikoa ya Pwani.

Na pia ukichunguza, jamii zinazolima ndizi, kahawa, zina uwezo mkubwa sana darasani. Sijajua connection ya ndizi na uwezo wa kiakili. Lakini pia mazao hayo yalifanya wasiende mbaaali sana kulima, kwa kuwa chakula kilizunguka nyumba, tifauti na wasukuma na wasinginda, Tabora, wao ni kupanda na kung'oa kila mwaka. Mtu wa ndizi na kahawa akipanda amemaliza. Mtoto anapata muda mwingi wa kusoma.

Kanda ya ziwa ni kuzurura na mifugo kilometa kumi, unaamka saa 12, unarudi saa 2 usiku, unasomaje? Though kwa sasa haki imebadilika.

Na pia Ukerewe, inasemekana wale samaki ndio walifanya ukerewe ikawa na idadi kubwa aana ya wasomi kwa eneo moja. Kisiwa hicho hakikufaidika na wasomi kwa sababu ya imani za kishirikina na kuwekeana sumu ya mamba. Ukienda huko wazee wakakuona unataka kusonga mbele, fasta, wanaua.
Ndizi na migomba inategemea hali ya hewa ya aina fulani. Hali ya hewa ya aina fulani ilivutia wazungu walipokuja huku kwa mara ya kwanza. Wazungu waliwavutia shule na culture yao, kwa wale wakazi wa hayo maeneo yenye hali ya hewa ya aina fulani.
 
naam sasa mmeanza kuelewa kwamba falsafa ya dini ndiyo inayoleta maendeleo na utu wa binadamu, mfumo unaotawala Dunia leo hii ni western christianity hivyo yoyote ambaye hafwati christianity ( western) way of life hawezi kuendelea.

na ndio maana nchi zinafwata uislamu afrika ni shida tupu kuanzia somalia, chad, maurtania na kwingineko pakistani, irani au hata yemeni.

hata tanzagiza, jiulize kwa nini awamu ya 4 na sada hivi wanazima umeme? tumeishi for 5 years bila ya shida ya umeme, tanesco ile ile inayozima umeme leo hii ndiyo iliyowasha umeme bila ya shida 2015/20, swali ni kwamba kwa nini?

tusiogope maswali magumu tujiulize ili tuweze kusonga mbele labda tutapata suluhisho lkn ukweli ni kwamba uislamu at least wa tanzagiza haufundishi partriotism na hard work ushahidi upo kila mahali hapa tanzagiza kuanzia perfomance za watoto shuleni mpaka maofisini, angalia akina kunde walivyoifanya tanesco yetu walikuuta vizuri leo kila kitu destroyed …
Maharage Kande na soga yake Makamba jr ni watu wanastahili kuwa gerezani wakitumikia vifungo virefu au firing squad ingekuwa ishawakutanisha na Muumba wao.
 
Vipi kuhusu egypt,algeria,tunisia,comoro,moroco,qatar omar etc izo nchi ulizozitaja zinaasiliwa na rangi zao zamwili kama ilivyo nigeria,angola,congo,cammeroon nawengine wenye rangi kama yangozi yako
 
Kaka Mayalla
Kwangu mm IQ au kua na uwezo mkubwa vinatokana na mambo mbalimbali nitataja vichache.
1: vinasaba aka genetics hii kitu inaenda vizazi na vizazi kuna koo zinavipaji tangu enzi ukoo unaazinshwa it’s like Israelian u can’t win kwao kiakili.
2.Vyakula unaweza kua huna akili sn but vyakula unavyokula vikakuongezea uwezo wako pia wakufikiria
3.Mazingira nafikiri hii ndio changamoto kubwa kwa generation ya sasa technology imewateka mno badala ya kua wabunifu and kingine hatakujifunza hawataki kabisa.
4.Wivu wa maendeleo haupo unaishi huna mtu wakujifunza wake au anaekuhamasisha kwakua unataka kumpita yeye wengi role model zao ni wafanya ujinga zaidi.
 
Hapo ndipo mataifa ya kiafrika yanapokosa simuluzi zinazounganisha taifa.

Yaani umoja haupo kila kakikundi kiwe cha kiimani, kikabila na kikanda wana simulizi zao za umoja katika uchache wao.

Lini nchi itakuwa na simulizi ya kitaifa kama USA, RUSSIA, CHINA, JAPAN n.k kadhalika.
Uongozi ndiyo majanga. Uongozi haufanyi juhudu zozote kuungasha watu bali unatumia huo mgawanyiko kujitetea pale wanapoona mambo yanakwenda vibaya. eg. Kiongozi akikosolewa kidogo, tena mambo ya ukweli, anakimbilia nyumba ya ibada kulialia au anatumia waumini wa dini yake kumtetea kwa anaonewa.
 
Mkuu Pascal

Kindergarten & Montessori au niseme elimu ya awali ..

Najifunza Geography, Arithmetics (Mathematics),A little philosophy (Religion) . Literature/Poetry kidogo (Arts)

Mohamed anakwenda Chuo ..

Anajifunza Kiarabu alphabets ..

Alif , Be ....
Toka ameanza kuweza kutembea vizuri miaka mi3,4 Mpaka 7 Kweli kweli utamlinganisha na Mimi?
Bh
 
Wanabodi,

Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!.

Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional mathematics, nilikuwa mzuri wa algebra, ila nilipoamua kufanya HGL A-Level, somo la hesabu nilipata C, sambamba na Chemistry, Physics, na Biology, zote nilipiga C!, lakini naomba kukiri, mimi sio mzuri kwenye takwimu.

Huko nyuma, tuliwahi kupishana na Mkuu Maalim Mohamed Said kwenye takwimu zake za idadi ya Wabunge Wakristo na Waislamu, yeye alisema mimi nikasema ni urongo!. Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.

Ubishi huo ulianzia huku Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Baada ya kumpinga with data estimates, ile video ya urongo, iliondolewe kule YouTube!.

Sasa angalia takwimu hizi za matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mujibu wa Mkuu Maalim Mohamed Said
Kwenye takwimu hizi nauliza jee ni kweli Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71% ni Waislamu na dini nyingine zote ni asilimia 29%?. Hizi data za asilimia za idadi ya watu wa dini fulani, zinapatikaje?, naomba mtu asiibuke na kuniambia wametumia majina!.

Katika hiyo asilimia 71 % ya Waislamu waliofanya mtihani huo wa darasa la 7, waliofaulu kwenda sekondari ni asilimia 21% tuu, hii maana yake kati ya Waislamu waliofanya mtihani wa darasa la 7, waliopasi kwenda sekondari ni asilimia 21% ya wale asilimia 71% Waislamu, na kati ya wale Wakristu asilimia 29% waliopasi kuingia sekondari ni asilimia 79%. Hii ni kweli?!.

Kama hizi data za Maalim Mohamed Said ni data za kweli, then kuna shida mahali!, kuna tatizo!, linalohitaji critical analysis kulibaini na kulitatua!.

Niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.

Pia nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Nikauliza tena Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Na nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?

Nashauri tufanye utafiti wa Idadi ya Waislamu na Wakristu kwenye maeneo yafuatayo

1. Kiwango cha umasikini kati ya Wakristo na Waislamu
2. Idadi ya wafanyabiashara
3. Idadi ya matajiri
4. Ufaulu wa darasa la saba
5. Ufaulu wa kidato cha 4
6. Udahili elimu ya juu
7. Asilimia kwenye astashahada
8. Stashahada
9. Shahada
10. Shahada za uzamili
11. Shahada za uzamivu
12. Idadi wafungwa, mahabusu na uhalifu.
13. Idadi ya jobless
14. Idadi ya wale dada zetu wanaofanya ile biashara ya usiku ya kuuza naniliu
15. Idadi ya wife materials na husbands material
16. Idadi ya kuoa na kuolewa
17. Utulivu kwenye ndoa
18. Broken homes
19. Single mothers
20. Wanaume wanaotekeza watoto.

Matokeo ya tafiti hizi, japo yata surprise wengi, lakini hizo data zitatusaidia kubaini kuwa tuna tatizo, hivyo tuanze kuchukua hatua kulitatua, vinginevyo, wachochezi wa udini, watakuwa wanaendelea kutulisha matango pori kuwa kuna dini wanapendelewa na kuna dini wanabaguliwa, kumbe the actual fact ni kuna wenzetu wanashida, wana matatizo, wanahitaji msaada na tuwasaidie, tusaidiane!.

Paskali
Pascal wewe ni talented kaka yangu unajua mpaka unakera hongera sana kaka!
 
Binafsi nimeshuhudia mtoto aliyeanza kwenda madrassa anapata shida primary Kwani anataka kuandika kulia kwenda kushoto kama kule madrassa
Hicho ni kipimo kikubwa kabisa Cha watu wenye akili za KRISTO, wagalatia wamekuwa brainwashed to the extent kuwa anadhani lugha ya kiarabu ni lugha ya kiislam,kumbe Arabic language ni amongst top five of best language duniani, besides hata wagalatia wenzako ambao ni waarabu injili Yao ya kiarabu imeandikwa hivyo hivyo kushoto kwenda kulia,Sasa tunashangaa ni kwamba hivi mmekosa akili kabisa au exposure??na ndiyo maana kutwa kujiita wasomi ndani ya nchi hii Cha maana mnachojua ni wizi na ufisadi tuh
 
naam sasa mmeanza kuelewa kwamba falsafa ya dini ndiyo inayoleta maendeleo na utu wa binadamu, mfumo unaotawala Dunia leo hii ni western christianity hivyo yoyote ambaye hafwati christianity ( western) way of life hawezi kuendelea.

na ndio maana nchi zinafwata uislamu afrika ni shida tupu kuanzia somalia, chad, maurtania na kwingineko pakistani, irani au hata yemeni.

hata tanzagiza, jiulize kwa nini awamu ya 4 na sada hivi wanazima umeme? tumeishi for 5 years bila ya shida ya umeme, tanesco ile ile inayozima umeme leo hii ndiyo iliyowasha umeme bila ya shida 2015/20, swali ni kwamba kwa nini?

tusiogope maswali magumu tujiulize ili tuweze kusonga mbele labda tutapata suluhisho lkn ukweli ni kwamba uislamu at least wa tanzagiza haufundishi partriotism na hard work ushahidi upo kila mahali hapa tanzagiza kuanzia perfomance za watoto shuleni mpaka maofisini, angalia akina kunde walivyoifanya tanesco yetu walikuuta vizuri leo kila kitu destroyed …
Upon a time, Egyptology dominated the universe, Jesus came to replace it with Christology that reigns todate.
 
Back
Top Bottom