Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
kwa kuwa kuna nyerere day?
kwani nani aliyetangulia kufa kati ya nyrere na karume?
kwani mwanzo hawakuona kama kuna umuhimu wa kuwa na karume day?
kama nyerere hangekufa kungekuwa na karuma day?
walioshikikiza huko kumechisha wamepata faida gani?
kwani nani aliyetangulia kufa kati ya nyrere na karume?
kwani mwanzo hawakuona kama kuna umuhimu wa kuwa na karume day?
kama nyerere hangekufa kungekuwa na karuma day?
walioshikikiza huko kumechisha wamepata faida gani?