Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Kwani alipoenda kutoa shahada ya ua kwenye kaburi unakuwa anaonesha udini?
Haya ndio matunda ya Jakaya Kikwete, mbegu alioipandikiza ya udini haitamwacha salama, na wala haitaicha Tanzania salama, mwenye masikio na asikie. mtoa mada yuko sahihi, jibu ni udini mtupu ndio maana hakuna askofu aliealikwa pale.