unalipwa sh ngapi per day? Naona karbu kila mchango uliotolewa vs polisi umeudefend..vua gamba ndio uchangie
Njaa mbaya ndugu zangu,ona vijana wasomi wa kitanzania wanavyojitia aibu,..Ni aibu kwa mtu kusimama na kusema Vyama vya wanaharakati vinafadhiliwa,wakati huna ushaidi,pili kama ni kweli kwanini hivyo vya vya wanaharakati visifutwe au kusimamishwa maana si wanaushahidi..hebu waache kuvishushia hadhi vyama kutetea haki za watz,..pia huyu Mkambala anadominate sana mjadala,HAFAI...
Mimi nimekasirika hadi nimevunja remote yangu.Shame on you ITV
kwa hiyo ulitaka wachangie kile unachotaka wewe?
Acha ukahabu wa kuwapenda wanaume polisi hao ni wababa wenye wake zao. Unajipendekeza kwao ili iweje, watafute raia wenzako watatosha kukupa starehe ya kutosho unayoitafuta kutoka kwa hao mapolisi wauuaji.
asante sana lakini avatar yako nimeipenda sana,sijui wapi naweza kukuona