Je, ITV ni Huru ama inatumiwa na wanasiasa?

How comes hii mijitu inasema eti POLICE wanalinda RAIA???

Hii mjitu imeletwa kwenye kipindi ikiwa corrupted

ITV should STOP THIS GAME KUANDAA WATU KUJA KUPOTOSHA RAIA

SHAME ON U ITv

Kuna yule mpemba feki kila mjadala alhamis lazima hawepo yeye ni kutetea mafisadi tu ndio hoja zake.
 
Haijatokea Malumbano ya Hoja wakawa wanapiga makofi kama watoto wa shule Mamluki walio nunuliwa ndio wamejaa
 
inawezekana ITV hawana tatizo
ILA HAO GUESTS ILIO WAALIKA NDO WENYE VICHWA MAJI-MAANA HATA MTU MZIMA ANATETEA MAUAJI HUYO ANATAKIWA AKAPIMWE AKILI YAKE,HAO WANAOWAKILISHA SIRIKALI HAWAFAI MAANA DOGMATISM IMEWAHARIBU BILA WAO KUJIJUA
 
Ile issue ya "Pilisi" kuua raia imekaa vibaya sana lazima 'watawala' wawe na mkakati!
 
Ni mimi Geeeeeeorgeeeeeee Maratoooooooooooooo wa I.TEEEEEEEEEEEEEE.VEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!
Kama ITV wanashindwa kugunduwa mtangazaji kama huyo George Marato ni kero ndio watagunduwa vitu sensitive kama hivyo?
Eti jitu linajitambulisha kama mwanasheria halafu linatetea Polisi kuuwa Innocent civilians!!
 
Tuna safari ndefu sana watanzania na njia imejaa miba aina ya CCM.

Wachangiaji wengi ni vilaza na washabiki. Walichokuwa wanaeleza ni namna polisi ilitakiwa iwe na hakuna aliyeeleza namna polisi ilivyo. Shida ya jeshi la polisi ni kuwa limekuwa sehemu ya Chama Twawala. Wanaacha mambo ya msingi kazi kuwa bize na intelijensia ya kuzuia maandamano.

Na kudhihirisha jinsi tusivyo na jeshi, wana JF tafakarini hili: Didas Masaburi aliwaambia wabunge wa DSM kuwa kama wataendelea kumfuatafuata na yeye atasema mambo yao. Navyoelewa mimi Black Mailing ni criminal offense na hapa dhahiri Masaburi alikuwa anawatishia kwa jambo ambalo polisi ilipaswa kulifuatilia ikiwa ni pamoja na kumuhoji Didas Makalio, lkn kazi kama hizi hawazifanyi, wako bize na maandamano. Wanafikiri heshima ya serikali itarudishwa na virungu na maji ya kuwasha. (Maiti ya mfalme hata ioshwe na machozi ya wananchi kamwe haifufuki)

Jeshi la CCM ndio chanzo cha uvunjifu wa amani. Lipo kisiasa zaidi. Wale waliochangia ni sehemu ya ufisadi wa haki zetu. Mungu awalaani
 
NI KWELI KWA SABUBU KILA ANAYECHANGIA ANATETEA POLISI HAKUNA ANAYEONA KAMA POLISI WANAKIUKA HAKI ZA BINADAMU...Huu mjadala una rushwa nadani yake

Labda niweke tu sawa . Nilichokishuhudia jana ni kuwa kuna jamaa angu akiwa ameambatana na washkaji wake kwa jina ni Livinus Mashindano alimaliza udsm mwaka jana na alikuwa kwny serikali ya Daruso km mbunge. Kwa waliotazama alikuwa mchangiaji wa mwanzo2 aliyejitambulisha km mwananchi. Na mchango wake ulilenga kutetea polisi na kuwaponda watu wa haki za binadamu. Binafsi sikumshangaa sana kwani yeye na alioambatana nao waliongea utumbo nilioutegemea kutoka kwao. Huyu Mashindano kwny uchaguzi mkuu uliopita alikuwa kwny team ya kampeni ya Hawa Ng'umbi jimbo la Ubungo, pia jimbo la Kigamboni kwa Doc. F. Ndungulule. Badaaye alifanya kazi kama sio internship Uhuru Media. Kwa hiyo kwa haraka haraka tayari huyu jamaa tayari ana element za umagamba, yeye na jamaa zake alioambatana nao. Pia kingine ambacho nilikishangaa jana ni jinsi ambavyo audiance ilivyokuwa inapiga makofi kwa wachangiaj waliowaegemea polisi. Na ilifika mahala hata yule Kamanda Kiondo alipoanza kubwatuka mambo ambayo ni kinyume na sheria pia ukiukwaji wa haki za raia, na aliongea kwa uhuru kabisa coz audiance iliyoshiriki ilikuwa inamsapoti.
Huu mjadala wao kwa kifupi uliniudhi sana, hasa ukizingatia jinsi ambavyo watz wenzetu walivyoamua kusaliti wenzao na kutetea uharamia unaofanywa na vyombo vya dola.
 
Kutokana na Jeshi la Polisi kushuka thamani uraiani na watu kuliona kama ni jeshi la hovyo linaloegemea upande wa Serikali kuna mambo mawili nahisi yalijitokeza.
1. Eidha Polisi wenyewe walioganaizi watu pamoja na kulipia airtime kuendesha kipindi
2. Serikali iliiamuru ITV kufanya huo mchezo unaodhalilisha weledi katika tasnia ya habari kutafuta vichwa na hasa polisi wenyewe ili waje kutetea huo ushuzi
ikumbukwe pia tunaelekea kwenye uchaguzi Arumeru, yanaweza yakatokea mauaji mengine so polisi inawaandaa raia kisaikolojia
 
Jamani sikuhizi hii ITV nimekua siielewi, wanakipindi chao kinaitwa MALUMBANO YA HOJA ambacho mada inasema PILISI KUUA RAIA KWA SILAHA ZA MOTO WAKITAWANYA MAANDAMANO,JE WANAHESHIMU NA KULINDA HAKI ZA RAIA? cha ajabu hapa naona kunamtangazaji anaitwa SALUM Mkambala anawapangia wachangiaji waseme nini, halafu wamealika maafisa kadhaa wa polisi wanaowatisha watu eti wasijadili suala lililopo mahakamani, sasa hapa watu watachangia nn?, na kama suala lipo mahakamani kwa nini wanaleta mada kama hizi?

Weledi hebu nijuzeni kama hiki kituo kimenunuliwa ili kitete udhalimu.

Mkuu hata kama ITV inatumika kisiasa sio kivile kama tbc kwani imekuwa too much kwani ktk habari zao shm viongozi wamekataliwa na wananchie either kwakutofika au kuwa na mabango ya kuwakataa au kuweka bendera za cdm huwa hamatangazi ingawa wanakuwa ktk msafa na kutangaza mambo mengine tofauti kabisa na inaelekea ITV waliambiwa wafawe wanafanya kitu kama hicho ila naona hawajitaka kwani huwa hawatangazi kabisa
 
samaihani kwa kukosea speling ni POLISI na sio PILISI, halafu kunapolisi wengine wamevaa kiraia ambao wanapiga makofi kila huyo afande anapoongea kibabe.

wanajaribu kurudisha imani kwa wananchi ila ndo ivo imani kurudi tena ni kazi sana
 
ITV endeleeni tu kujiusisha na siasa na mambo yanayowakandamizi raia tu kwani feedback mtakuja kuiona baadae kwa kukosa watazamaji kama sasa inavyokea tbc aka tbccm
 
Jamani sikuhizi hii ITV nimekua siielewi, wanakipindi chao kinaitwa MALUMBANO YA HOJA ambacho mada inasema PILISI KUUA RAIA KWA SILAHA ZA MOTO WAKITAWANYA MAANDAMANO,JE WANAHESHIMU NA KULINDA HAKI ZA RAIA? cha ajabu hapa naona kunamtangazaji anaitwa SALUM Mkambala anawapangia wachangiaji waseme nini, halafu wamealika maafisa kadhaa wa polisi wanaowatisha watu eti wasijadili suala lililopo mahakamani, sasa hapa watu watachangia nn?, na kama suala lipo mahakamani kwa nini wanaleta mada kama hizi?

Weledi hebu nijuzeni kama hiki kituo kimenunuliwa ili kitete udhalimu.
Niliona jana..ni ujinga mtupu. Wamechukua mapolisi waliovaa kiraia wanajifanya eti ni wananchii wa kawaida wanachangia mada. Inakera big time!
 
Nilifikiri ni mimi peke yangu nilikerwa na hicho kipindi.
ITV wameita polisi wakaawaambia wavae kiraia wajifanye wanawakilisha raia kwenye hoja.
Toka nizaliwe sijawahi kusikiliza utumbo kama ulioongelewa.Nilijikuta naenda kuagiza Konyagi kubwa nipoteze mawazo.
SHAME ON U ITV.
 
nilifikiri ni mimi peke yangu nilikerwa na hicho kipindi.
Itv wameita polisi wakaawaambia wavae kiraia wajifanye wanawakilisha raia kwenye hoja.
Toka nizaliwe sijawahi kusikiliza utumbo kama ulioongelewa.nilijikuta naenda kuagiza konyagi kubwa nipoteze mawazo.
Shame on u itv.

itv wamealika mapolisi watupu,wale wote waliochangia wanasema mimi ni raia wa kawaida ni mapolisi nawajua wote mapolisi wa magomeni wale waliletwa na magari ya polisi wakiwa wamevaa nguo za kiraia kweli wale na mkambala anawajua kwa hiyo alikuwa anawapa mic muda wote na kuwanyima wanaharakati na wanachuo
 
yaani kilichonishangaza pale ni kwa watu wenye akili zao kutetea polisi kuua..! ati polisi wamefundishwa kwa hivyo hawawezi kuua unless maisha yao yamewekwa hatarini..! kwamba ati jeshi la polisi lina watumishi waadilifu..bushiiiit.. zombe na genge lake waliwaua wafanyabiashara wa madini toka mahenge na kuwapora madini na fedha..! hawakuwa polisi hawa..? waliandamana hawa wafanya biashara..? amin nawaambia Mungu ni wa ajabu.. umesimama pale jana unawatetea polisi hawaui itafika siku utakuwa kiguu na njia kutafuta haki baada ya kutendwa na hao unaowaona hawaui..
 
Back
Top Bottom