Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
kila raia ana haki ya kikatiba ya kutoa maoni yake ambayo si lazima yampendeze kila mtu. Katika jamii huru tofauti za kimawazo na mitazamo ni jambo la kawaida na ni chachu ya maendeleo na kwamba kutoa mawazo usiyokubaliana nayo si kununuliwa...toa hoja zako mbadala.
yajana mkuu niabu tena sana tuu hata mimi nilikasilika tunaonekana vilaza sasa!