pepe17
JF-Expert Member
- Oct 17, 2007
- 295
- 221
Ni kweli kabisa hata yeye mwenyewe JM amekubali katika hiyo web site yake lakini ametumia maneno ya kisiasa tu kulembalemba, I quote him " And, to the shock of friends and family and teachers, my name was not there in the results sheet. I felt like collapsing. I went to another result centre thinking that there was a mistake again, nothing. Inquiries to the reasons were not responded to immediately. Later we learnt that I was mistakenly linked to a cheating scam that one of the teachers was involved in. I was a pawn in a terrible mistake"
Sasa kama anasema 'I was mistakenly linked to a cheating scam' mbona sasa hakurudishiwa matokeo yake? kwa hiyo hapo kuna ukweli kabisa kuwa ali-cheat. Mkubwa JM kubali tu yaishe, wewe si wa kwanza kuna viongozi wangapi vihiyo? kwa hiyo wewe hutakuwa wa kwanza.Pole sasa baba.
Sasa kama anasema 'I was mistakenly linked to a cheating scam' mbona sasa hakurudishiwa matokeo yake? kwa hiyo hapo kuna ukweli kabisa kuwa ali-cheat. Mkubwa JM kubali tu yaishe, wewe si wa kwanza kuna viongozi wangapi vihiyo? kwa hiyo wewe hutakuwa wa kwanza.Pole sasa baba.
Ingia hapa usome kilichotokea, instead of smearing nasty rumors babu. January Makamba.com