iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
Katika hali inayoonyesha umasikini mkali unalikabili taifa,Mwenyekiti wa Kijiji huko Chalinze alikutana na Waziri January Makamba hali ya kuwa shati lake limechanikachanika
Mwenyekiti huyo aliyesifiwa na Waziri Makamba kuwa ni mtunza mazingira mzuri,aligusa imani NA huruma ya Waziri January Makamba ambaye alilazimika kumpa shati lake,kitendo kilichomfanya Mwenyekiti huyo wa Kijiji aangue kilio kikuu
TAFSIRI YANGU
Hali ya umasikini ni mbaya sana mitaanj,mtu mzima kutembea amevaa shati lililochanika,tena yeye akiliona ni shati maalum la kumpokelea Waziri aliye katika Ofisi ya Makamu wa Rais inasikitisha
Tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani imekuwa ikitamba kwamba ni serikali ya watu masikini,je hii inamaanisha kwamba haitauondoa umasikini kwa kuwa ukiondoka basi inakosa mizizi?
Kilio cha Mwenyekiti huyo wa kijiji,mtu mzima,akatoa machozi baada ya kupewa shati nadhani ana mengi katika familia yake,hatujui watoto wake wanavaa kweli? Wanakula? He hali hii iko kwa watu wangapi katika utawala huu? Je naye ni mpiga dili?
Tangu serikali iingie madarakani hakuna program yeyote ya kuondoa umasikini vijijini,matokeo ndio haya,NA utawala huu sasa una miaka miwili NA nusu,bado miaka miwili uondoke
Pia kuna tamko la kuzuia mitumba eti tutakuwa tunapeleka sisi mitumba ulaya,kwa hali hii kweli?
Japo serikali hii anasema ni ya masikini,lakini haitakiwi kuzidisha idadi ya watu
masikini
Taifa likihoji kuhusu umasikini mkali ulioletwa NA awamu hii,jibu ni MLIZOEA DILI
Badala ya kusisimua uchumi,hela zote tumeficha Benki Kuu,zilizobaki,tunawapeleka vijana wa kizungu wenye viwanda vya ndege za bombadia NA dreamliner
Mwenyekiti huyo aliyesifiwa na Waziri Makamba kuwa ni mtunza mazingira mzuri,aligusa imani NA huruma ya Waziri January Makamba ambaye alilazimika kumpa shati lake,kitendo kilichomfanya Mwenyekiti huyo wa Kijiji aangue kilio kikuu
TAFSIRI YANGU
Hali ya umasikini ni mbaya sana mitaanj,mtu mzima kutembea amevaa shati lililochanika,tena yeye akiliona ni shati maalum la kumpokelea Waziri aliye katika Ofisi ya Makamu wa Rais inasikitisha
Tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani imekuwa ikitamba kwamba ni serikali ya watu masikini,je hii inamaanisha kwamba haitauondoa umasikini kwa kuwa ukiondoka basi inakosa mizizi?
Kilio cha Mwenyekiti huyo wa kijiji,mtu mzima,akatoa machozi baada ya kupewa shati nadhani ana mengi katika familia yake,hatujui watoto wake wanavaa kweli? Wanakula? He hali hii iko kwa watu wangapi katika utawala huu? Je naye ni mpiga dili?
Tangu serikali iingie madarakani hakuna program yeyote ya kuondoa umasikini vijijini,matokeo ndio haya,NA utawala huu sasa una miaka miwili NA nusu,bado miaka miwili uondoke
Pia kuna tamko la kuzuia mitumba eti tutakuwa tunapeleka sisi mitumba ulaya,kwa hali hii kweli?
Japo serikali hii anasema ni ya masikini,lakini haitakiwi kuzidisha idadi ya watu
masikini
Taifa likihoji kuhusu umasikini mkali ulioletwa NA awamu hii,jibu ni MLIZOEA DILI
Badala ya kusisimua uchumi,hela zote tumeficha Benki Kuu,zilizobaki,tunawapeleka vijana wa kizungu wenye viwanda vya ndege za bombadia NA dreamliner