yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,527
- 1,913
Sasa zuzu kama wewe uwe great thinker?Hii ungeipeleka facebook haina hadhi ya kuwemo humu katika jukwaa la great thinker. Too low.
Sasa zuzu kama wewe uwe great thinker?Hii ungeipeleka facebook haina hadhi ya kuwemo humu katika jukwaa la great thinker. Too low.
Wazee wenye nchi. Wazee wa mwambao hawawez kumpa huyu dogo.. mjinga sana huyu mtotoHii habari inatambaa sana mitandaoni ikimuhusisha waziri wa sasa wa nishati na wizi wa mitihani,j e ina ukweli?
Mliosoma na January Makamba hebu liwekeni sawa hili jambo, huyu mtu anatarajia kuwa kiongozi wa nchi baadae, kama aliiba mtihani je anafaa kukabiziwa Ikulu?
ukitaka kujua unakokwenda angalia ulikotoka.Yaliyopita si ndwele
Nakufuatilia sana comments zako japo zingine zinajaa siasa sana lakini basi ndo makosa ya kibinadamu hayo.Kama tutaanza kuwahukumu watu kwa makosa ya utotoni, hakuna atakayebaki salama!.
Tunapotafuta viongozi tunaangalia uwezo wa uongozi, sifa na vigezo, viongozi wetu ni binadamu na sio malaika, hivyo wanaruhusiwa kufanya makosa yoyote ya kibinaadamu.
P
Sio wivu mleta mada ana mantiki kubwa .Kwanza ,Kama alikuwa anaiba mitihan ,Ina maana Hana akili yeyote ya kuingiza hapo alipo.Amechaguliwa kwa kuwa Makamba senior alikuwa katibu mkuu wa CCM.Pili ,implication yake katiba mpya ni muhimu,ili kuepuka wahuni kutuongoza.Haya ni majungu dhidi ya Mheshimiwa Makamba, ni wivu ule ule unaosumbua akili zetu za kitanzania.
Ndio keshakuwa waziri na anakubalika kwa Rais huyu na yule wa awamu ya nne, Uzi kama huu ni sehemu ya udaku usioweza kumfanya lolote waziri, ni kujisumbua tu.
Wanabebana haswaSio wivu mleta mada ana mantiki kubwa .Kwanza ,Kama alikuwa anaiba mitihan ,Ina maana Hana akili yeyote ya kuingiza hapo alipo.Amechaguliwa kwa kuwa Makamba senior alikuwa katibu mkuu wa CCM.Pili ,implication yake katiba mpya ni muhimu,ili kuepuka wahuni kutuongoza.
Thibitisha kauli yakoHii habari inatambaa sana mitandaoni ikimuhusisha waziri wa sasa wa nishati na wizi wa mitihani,j e ina ukweli?
Mliosoma na January Makamba hebu liwekeni sawa hili jambo, huyu mtu anatarajia kuwa kiongozi wa nchi baadae, kama aliiba mtihani je anafaa kukabiziwa Ikulu?
Miafrika ujuha sijui utaisha lini,yani wizi wa mtihani unasema ni makosa ya utotoni-watu walitakiwa wawe magerezani.Kama tutaanza kuwahukumu watu kwa makosa ya utotoni, hakuna atakayebaki salama!.
Tunapotafuta viongozi tunaangalia uwezo wa uongozi, sifa na vigezo, viongozi wetu ni binadamu na sio malaika, hivyo wanaruhusiwa kufanya makosa yoyote ya kibinaadamu.
P
Kwa comments kama hizi naanza kuamini watanzania tulio wengi ni wajinga na kamwe Tanzania haitakuja kuendelea!Haya ni majungu dhidi ya Mheshimiwa Makamba, ni wivu ule ule unaosumbua akili zetu za kitanzania.
Ndio keshakuwa waziri na anakubalika kwa Rais huyu na yule wa awamu ya nne, Uzi kama huu ni sehemu ya udaku usioweza kumfanya lolote waziri, ni kujisumbua tu
Huyo jamaa ni kirusi kwa maendeleo ya hiii nchi,yuko bize kuhami majizi ya hii nchiKwa comments kama hizi naanza kuamini watanzania tulio wengi ni wajinga na kamwe Tanzania haitakuja kuendelea!
Ukitaka kujua tuna watu wa aina gani nchini wewe lete uzi halafu angalia comments, replyMiafrika ujuha sijui utaisha lini,yani wizi wa mtihani unasema ni makosa ya utotoni-watu walitakiwa wawe magerezani.