Elisante Yona
Senior Member
- Oct 6, 2009
- 130
- 24
Ndugu,
Mimi sishangie haka kajamaa hana chochote,ni kafisadi na Baba yake ndie mvurugaji wa Chama Kongwe,Anguko la CCM liko karibu,mfano mzuri ni Tunisia na Misri,Siku moja watu wa Tanzania WANAUME NA WANAWAKE NA WATOTO wetu,tutaitoa hiyo CCM
Mimi sishangie haka kajamaa hana chochote,ni kafisadi na Baba yake ndie mvurugaji wa Chama Kongwe,Anguko la CCM liko karibu,mfano mzuri ni Tunisia na Misri,Siku moja watu wa Tanzania WANAUME NA WANAWAKE NA WATOTO wetu,tutaitoa hiyo CCM