Wana JF nimeshangazwa sana na kauli za Januari Makamba wakati akichangia Hotuba ya Rais. Jamaa baada ya kubebwa na kupewa ubunge na mafisadi anajiona kuwa uwezo wake ni mkubwa wa uelewa wa mambo kiasi cha kuwashangaa wengine eti wamefikaje humu bungeni.
Nilivyo muelewa mimi ni kuwa kwa kuwa yeye amebebwa kwa gharama kubwa na mafisadi kwa fedha zenye dhuluma na Baba yake anashanga watu kama John Mnyika na Halima Mdee wamefikaje bungeni wakati sio matajiri kama yeye.
Nataka ni mtaarifu kuwa pamoja na kujiona kuwa nyie vizazi vya mafisadi ndio mnaostahili kuongoza hata kama hamna uchungu na Tanzania siku itafika mtashangaa CCM imekufaje tene kifo cha mende.
Mubaraka wa Misri naye alikuwa anashangaa kama Januari kuwa imekuwakuwaje naondolewa.
Nilivyo muelewa mimi ni kuwa kwa kuwa yeye amebebwa kwa gharama kubwa na mafisadi kwa fedha zenye dhuluma na Baba yake anashanga watu kama John Mnyika na Halima Mdee wamefikaje bungeni wakati sio matajiri kama yeye.
Nataka ni mtaarifu kuwa pamoja na kujiona kuwa nyie vizazi vya mafisadi ndio mnaostahili kuongoza hata kama hamna uchungu na Tanzania siku itafika mtashangaa CCM imekufaje tene kifo cha mende.
Mubaraka wa Misri naye alikuwa anashangaa kama Januari kuwa imekuwakuwaje naondolewa.