cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 87,029
- 139,764
Kumekuchaaa!!
Kumekuchaaa!!
Mchana huuu lazima tupunguze hamuKumekuchaaa!!
I will do so, iki shindikana acha kila mmoja afate njia yake.Try to handle it carefully, otherwise itabaki historia kwamba you used to own this and that 🙌
Sawa utatupa MrejeshoI will do so, iki shindikana acha kila mmoja afate njia yake.
Maana amani iki shindikana mkiwa vijana, uzeeni ni kutafutiana lawama.
Uki zingatia Mimi ndo think tank.
Nat onl uwalienda hadi kujitambulisha na masifa kibao halafu wakarara mbere kimya kimya 😂😂😂😂😂😂 cheko la uchungu sana kmmkeeeeeeeeeeeeeee
HahahaahaHope urassa njoo unisadie mimi nimesoma nikaishia wanashindwa........ sasa unaishije odo huko?
ndio maana kujifanya mwanachama usiku wa manane
Mzee mi naamini katika umoja na amani katika familia.Sawa utatupa Mrejesho
Maandiko yanasema "Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza, ndugu wakikaa pamoja Kwa umoja"
Zaburi 133:1
I wish you best of luck 🙏🙏🙏
Wacha wee!!Mchana huuu lazima tupunguze hamu