Naomba ukumbuke kuwa Ualimu ni wito
wito? wewe wito wako ni nini bwana, wenzenu wito na ninyi je MNAKUWA WEZI TUU!Naomba ukumbuke kuwa Ualimu ni wito
Naomba ukumbuke kuwa Ualimu ni wito
ukifika kwa darasa toa exercise swali moja then unayeya halafu tuone nani zaidi?
Naomba ukumbuke kuwa Ualimu ni wito
Naomba ukumbuke kuwa Ualimu ni wito
mkuu kunahaja ya kutafuta jinsi nyingine ya kugoma lakini hii itafanya vizaliwe vichwa vingi vya aina ya jk na kitu ambacho hatutaki!
Fanyeni anzeni kufundisha somo linaloitwa CCM wanyonyaji,wafundisheni watoto kuichukia CCM.
Naomba ukumbuke kuwa Ualimu ni wito
ukifika kwa darasa toa exercise swali moja then unayeya halafu tuone nani zaidi?
Naomba ukumbuke kuwa Ualimu ni wito