drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
- Thread starter
- #21
Mkuu kama kuna kitu sikipendi maishani mwangu na sitakaa nikisilize ni kitu wazungu wanaita prejudice au maamuzi mbele, aka fallacy of generalization. Chukulia mtu personally wala ucchukulie kiujumla. hasira, upendo na mengineyo ni masuala binafsi ambayo hayapaswi kuwa attached na kabila fulani. Kama junampenda, mchunguze kama yeye na amua kuendelea au kuterminate mkataba if you may call it that way!
kiingereza chako kigumu unaweza kupunguza ukali wa grammer niweze kukujibu mkuu