hivi huu mtandao wa tigo umekuwaje mbona wanafanya uhuni wa kutuibia waziwazi! Jana nimeongeza salio la 5000,nikaongea dk 3,simu inakata eti salio halitoshi!kuangalia nakuta imebaki sh.2!leo nimeweka sh.2000,sijaongea hata dk moja,kuangalia salio limebaki sh.3!kwa staili hii tigo imenishinda,kwani tcra wako wapi?