Izz
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 750
- 318
Usituchanganyie lugha hapa.!
Yaani wewe maxi. Kama ni paka
Basi lazima utakuwa wale vimburu wa mtaani. Na kama ni mboga basi ni maharage! Ukila lazima uchafue hali ya hewa! Unaruka ruka! Kama umegusa umeme! Jibu maswali yangu!
Watu kama MaxShimba wamezoea ubishi kwakua ndio asili yake na sio kujenga hoja!
Kwahivo ukitaka kubishana nae huyu kwanza inabidi umeze dawa "pain killer" ili kichwa kisije kuuma!
Last edited by a moderator: