Lakisipesa
Member
- Apr 1, 2012
- 20
- 11
Re: Jamani huu si uchawi saidia
Jamani watanzania hebu tuache uvivu wa kufikiri na kumsingizia shetani kwa kila kitu. Kama kuna dhambi ya kumsingizia shetani nadhani waafrika tunaongoza. Mbona kila kitu siku hizi watu walishafanyia utafiti na majibu ya utafiti yanapatikana bureeee kwenye Internet?. Hizi ndio sababu zinatufanya tusiendelee kwa mawazo ya kama haya, utamaliza pesa zako kwa mganga au Muda wako kwa wanamaombi sijui tena wakuchote pesa a.k.a sadaka hadi uwemaskini.
kinachokusibu wewe kinaitwa sleeping paralysis....... Just type kny google "sleeping paralysis" kuna maelezo lukuki kwanini tatzo linatokea na njia za kukabiliana nalo.
angalia wenzako kwenye hii clip halafu google kama nilivyokueleza usome kwenye wikipedia
https://www.google.de/url?sa=t&rct=j...47883778,d.Yms
Hakuna cha damn ya Yesu wala nini acheni umbumbumbu
QUOTE=MaxShimba;6614923]FAHAMU UWEZO WA DAMU YA YESU KRISTO
Ukweli ni kwamba katika damu ya Yesu Kristo kunapatikana zaidi ya mambo manne nitakayokushirikisha humu; lakini kwa sasa naona nianze na haya manne:-
Max Shimba A Bondservant Of Jesus Christ[/QUOTE]
Jamani watanzania hebu tuache uvivu wa kufikiri na kumsingizia shetani kwa kila kitu. Kama kuna dhambi ya kumsingizia shetani nadhani waafrika tunaongoza. Mbona kila kitu siku hizi watu walishafanyia utafiti na majibu ya utafiti yanapatikana bureeee kwenye Internet?. Hizi ndio sababu zinatufanya tusiendelee kwa mawazo ya kama haya, utamaliza pesa zako kwa mganga au Muda wako kwa wanamaombi sijui tena wakuchote pesa a.k.a sadaka hadi uwemaskini.
kinachokusibu wewe kinaitwa sleeping paralysis....... Just type kny google "sleeping paralysis" kuna maelezo lukuki kwanini tatzo linatokea na njia za kukabiliana nalo.
angalia wenzako kwenye hii clip halafu google kama nilivyokueleza usome kwenye wikipedia
https://www.google.de/url?sa=t&rct=j...47883778,d.Yms
Hakuna cha damn ya Yesu wala nini acheni umbumbumbu
QUOTE=MaxShimba;6614923]FAHAMU UWEZO WA DAMU YA YESU KRISTO
Ukweli ni kwamba katika damu ya Yesu Kristo kunapatikana zaidi ya mambo manne nitakayokushirikisha humu; lakini kwa sasa naona nianze na haya manne:-
- Uwezo wa Damu ya Yesu Kristo katika kuondoa dhambi. Imeandikwa katika kitabu cha 1Yohana 1:9 kuwa; "Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata ATUONDOLEE dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote".
- Uwezo wa Damu ya Yesu Kristo katika kupatanisha. Imeandikwa katika kitabu cha Waefeso 2:13-16 kuwa; "Lakini sasa, katika Kristo Yesu, ninyi mliokuwa mbali hapo kwanza mmekuwa karibu kwa damu yake Kristo. Kwa maana yeye ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi sote tuliokuwa wawili kuwa mmoja; akakibomoa kiambaza cha kati kilichotutenga. Naye akiisha kuuondoa ule uadui kwa mwili wake; ndiyo sheria ya amri zilizo katika maagizo; ili afanye hao wawili kuwa mtu mpya mmoja ndani ya nafsi yake; akafanya amani. AKAWAPATANISHA wote wawili na Mungu katika mwili mmoja, kwa njia ya msalaba, akiisha kuufisha ule uadui kwa huo msalaba"
- Uzima wa Milele katika Damu ya Yesu Kristo. Imeandikwa katika kitabu cha Yohana 6:53-54 kuwa; "Basi Yesu akawaambia Amini, amini, nawaambieni, msipoula mwili wake mwana wa Adamu nakuinywa damu yake, hamna uzima ndani yenu. Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao UZIMA WA MILELE….."
- Uwezo wa Damu ya Yesu Kristo katika kutulinda. Imeandikwa katika kitabu cha ufunuo wa Yohana 12:11a kuwa; "Nao wakamshinda (shetani) kwa damu ya mwana-Kondoo…." Mtihani mkubwa sana kwetu sisi wakristo ni kuyaweka katika matendo yale tunayofahamu katika Biblia. Nakushauri kwa Jina la Yesu Kristo kuwa uwe mtendaji wa neno, na usiwe msomaji tu. Ni maombi yangu kwa Bwana ya kuwa Roho wa ufahamu wa Bwana atakuwa juu yako unaposoma na ketenda neno lake.
Max Shimba A Bondservant Of Jesus Christ[/QUOTE]